Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 92:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

12 Mwenye haki atastawi kama mtende, Atakua kama mwerezi wa Lebanoni.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Waadilifu hustawi kama mitende; hukua kama mierezi ya Lebanoni!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Waadilifu hustawi kama mitende; hukua kama mierezi ya Lebanoni!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Waadilifu hustawi kama mitende; hukua kama mierezi ya Lebanoni!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Wenye haki watastawi kama mtende, watakuwa kama mwerezi wa Lebanoni,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Wenye haki watastawi kama mtende, watakuwa kama mwerezi wa Lebanoni,

Tazama sura Nakili




Zaburi 92:12
17 Marejeleo ya Msalaba  

Akanena habari za miti tangu mwerezi ulioko Lebanoni hata hisopo umeao ukutani; pia akanena habari za wanyama, na za ndege, na vitambaavyo, na samaki.


Akazinakshi kuta zote za nyumba kwa nakshi za makerubi, na mitende, na maua yaliyofunuka wazi, pande za ndani na nje.


Basi Wayahudi wakawapiga adui zao wote mapigo ya upanga, na kuwachinja, na kuwaangamiza, wakawatenda kama wapendavyo wale waliowachukia.


Naye atakuwa kama mti uliopandwa Kandokando ya vijito vya maji, Uzaao matunda yake kwa majira yake, Wala jani lake halinyauki; Na kila alitendalo litafanikiwa.


Miti ya BWANA nayo imetoshelezwa maji, Mierezi ya Lebanoni aliyoipanda.


Milima na vilima vyote, Miti yenye matunda na mierezi yote.


Wewe umngoje BWANA, Uishike njia yake, Naye atakutukuza uirithi nchi, Utawaona Wasio haki wakiangamizwa.


Bali mimi ni kama mzeituni Umeao katika nyumba ya Mungu. Nazitumainia fadhili za Mungu milele na milele.


Haki na isitawi wakati wa maisha yake yote, Nayo amani iwepo, hadi mwezi utakapokoma.


Hata wasio haki wakichipuka kama majani Na wote watendao maovu wakastawi. Mwishowe wataangamizwa milele;


Badala ya michongoma utamea msonobari, Na badala ya mibigili, mhadesi; Jambo hili litakuwa la kumpatia BWANA jina, Litakuwa ishara ya milele isiyokatiliwa mbali.


Hawatajenga, kisha akakaa mtu mwingine ndani yake; hawatapanda, kisha akala mtu mwingine; maana kama siku za mti ndivyo zitakavyokuwa siku za watu wangu, na wateule wangu wataifurahia kazi ya mikono yao muda wa siku nyingi.


Maana atakuwa kama mti uliopandwa kando ya maji, Uenezao mizizi yake karibu na mto; Hautaona hofu wakati wa joto ujapo, Bali jani lake litakuwa bichi; Wala hautahangaika mwaka wa uchache wa mvua, Wala hautaacha kuzaa matunda.


Lakini nilimwangamiza Mwamori mbele yao, ambaye urefu wake ulikuwa kama urefu wa mierezi, tena alikuwa na nguvu kama mialoni; lakini niliyaangamiza matunda yake toka juu, na mizizi yake toka chini.


Ndipo adui yangu ataliona jambo hilo, na aibu itamfunika, yeye aliyeniambia, Yuko wapi BWANA, Mungu wako? Macho yangu yatamtazama; sasa atakanyagwa kama matope ya njia kuu.


Mfano wa bonde zimetandwa, Mfano wa bustani kando ya mto, Mfano wa mishubiri aliyoipanda BWANA, Mfano wa mierezi kando ya maji.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo