Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 92:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

10 Bali pembe yangu umeiinua kama pembe ya nyati, Nimepakwa mafuta mabichi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Wewe umenipa nguvu kama nyati; umenimiminia mafuta ya kuburudisha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Wewe umenipa nguvu kama nyati; umenimiminia mafuta ya kuburudisha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Wewe umenipa nguvu kama nyati; umenimiminia mafuta ya kuburudisha.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Umeitukuza pembe yangu kama ile ya nyati dume, mafuta mazuri yamemiminwa juu yangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Umeitukuza pembe yangu kama ile ya nyati dume, mafuta mazuri yamemiminwa juu yangu.

Tazama sura Nakili




Zaburi 92:10
19 Marejeleo ya Msalaba  

Kila asubuhi nitawaangamiza Waovu wote nchini. Nikiwatenga wote watendao uovu Na mji wa BWANA.


Ametoa kwa ukarimu, na kuwapa maskini, Haki yake yakaa milele, Pembe yake itatukuzwa kwa utukufu.


Bali wao wanaozigeukia njia zao zilizopotoka, BWANA atawaondoa pamoja na watenda maovu. Amani ikae na Israeli.


Hapo nitamchipushia Daudi pembe, Na taa nimemtengenezea masihi wangu.


Naye amewainulia watu wake pembe, Sifa za watauwa wake wote; Wana wa Israeli, watu walio karibu naye. Haleluya.


Ndipo ilipoonekana mikondo ya maji, Misingi ya ulimwengu ikafichuliwa, Ee BWANA, kwa kukemea kwako, Kwa mvumo wa pumzi ya puani mwako.


Waandaa meza mbele yangu, Machoni pa watesi wangu. Umenipaka mafuta kichwani pangu, Na kikombe changu kinafurika.


Umeipenda haki; Umeichukia dhuluma. Kwa hiyo MUNGU, Mungu wako, amekutia mafuta, Mafuta ya furaha kuliko wenzako.


Nguvu zote za wasio haki nitazimaliza, Lakini nguvu za mwenye haki nitaziimarisha.


Maana fahari ya nguvu zao ni Wewe, Na kwa radhi yako pembe yetu itatukuka.


Uaminifu wangu na fadhili zangu atakuwa nazo, Na kwa jina langu pembe yake itatukuka.


Mungu amewaleta kutoka Misri, Naye ana nguvu kama nguvu za nyati.


Mungu amemleta kutoka Misri, Ana nguvu mfano wa nguvu za nyati; Atawameza mataifa walio adui zake, Ataivunja mifupa yao vipande vipande. Atawachoma kwa mishale yake.


Ametusimamishia pembe ya wokovu Katika mlango wa Daudi, mtumishi wake.


Basi Yeye atufanyaye imara pamoja nanyi katika Kristo, na kututia mafuta, ni Mungu,


Nanyi mmepakwa mafuta na Yeye aliye Mtakatifu nanyi mnajua nyote.


Na waangamie vivyo hivyo adui zako wote, Ee BWANA. Bali wao wampendao na wawe kama jua hapo litokapo kwa nguvu zake. Nayo nchi ikastarehe miaka arubaini.


Naye Hana akaomba, akasema, Moyo wangu wamshangilia BWANA, Pembe yangu imetukuka katika BWANA, Kinywa changu kimepanuka juu ya adui zangu; Kwa kuwa naufurahia wokovu wako;


Washindanao na BWANA watapondwa kabisa; Toka mbinguni yeye atawapigia radi; BWANA ataihukumu dunia yote; Naye atampa mfalme wake nguvu, Na kuitukuza pembe ya masihi wake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo