Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 91:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

16 Kwa siku nyingi nitamshibisha, Nami nitamwonesha wokovu wangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Nitamridhisha kwa maisha marefu, nitamjalia wokovu wangu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Nitamridhisha kwa maisha marefu, nitamjalia wokovu wangu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Nitamridhisha kwa maisha marefu, nitamjalia wokovu wangu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Kwa siku nyingi nitamshibisha na kumwonesha wokovu wangu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Kwa siku nyingi nitamshibisha na kumwonyesha wokovu wangu.”

Tazama sura Nakili




Zaburi 91:16
14 Marejeleo ya Msalaba  

Abrahamu akafariki, naye akafa katika uzee mwema, mzee sana, ameshiba siku, akakusanyika kwa watu wake.


Utafika kaburini mwenye umri mtimilifu, Kama mganda wa ngano ulivyo wakati wake.


Utanijulisha njia ya uzima; Mbele za uso wako kuna furaha tele; Na katika mkono wako wa kulia Mna mema ya milele.


Alikuomba uhai, ukampa, Muda mrefu wa siku nyingi, milele na milele.


Atoaye dhabihu za kushukuru, Ndiye anayenitukuza. Naye autengenezaye mwenendo wake, Nitamwonesha wokovu wa Mungu.


Kumcha BWANA kwaongeza siku za mtu; Bali miaka yao wasio haki itapunguzwa.


Thawabu ya unyenyekevu ambao ni kumcha BWANA Ni utajiri, na heshima, nayo ni uzima.


Ana wingi wa siku katika mkono wake wa kulia, Utajiri na heshima katika mkono wake wa kushoto.


Maana zitakuongezea wingi wa siku. Na miaka ya uzima, na amani.


Bali Israeli wataokolewa na BWANA kwa wokovu wa milele; ninyi hamtatahayarika, wala kufadhaika, milele na milele.


Kwa kuwa macho yangu yameuona wokovu wako,


Na wote wenye mwili watauona wokovu wa Mungu.


upate kumcha BWANA, Mungu wako, kushika amri zake zote, na sheria zake, ninazokuamuru, wewe na mwanao, na mwana wa mwanao, siku zote za maisha yako; tena siku zako ziongezwe.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo