Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 91:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

13 Utawakanyaga simba na nyoka, Mwanasimba na joka utawakanyaga kwa miguu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Utakanyaga simba na nyoka, utawaponda wana simba na majoka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Utakanyaga simba na nyoka, utawaponda wana simba na majoka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Utakanyaga simba na nyoka, utawaponda wana simba na majoka.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Utawakanyaga simba na nyoka wakali, simba mkubwa na nyoka utawaponda kwa miguu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Utawakanyaga simba na nyoka wakali, simba mkubwa na nyoka utawaponda kwa miguu.

Tazama sura Nakili




Zaburi 91:13
14 Marejeleo ya Msalaba  

Kwani utakuwa na mapatano na mawe ya bara; Nao wanyama wa bara watakuwa na amani kwako.


Wana sumu mfano wa sumu ya nyoka; Wao ni kama fira kiziwi azibaye sikio lake.


Katika siku hiyo BWANA, kwa upanga wake ulio mkali, ulio mkubwa, ulio na nguvu, atamwadhibu Lewiathani, nyoka yule mwepesi, na Lewiathani, nyoka yule mwenye kuzongazonga; naye atamwua yule joka aliye baharini.


Mungu wangu amemtuma malaika wake, naye amevifunga vinywa vya simba, nao hawakunidhuru; kwa kuwa mbele zake mimi nilionekana kuwa sina hatia; tena, mbele yako, Ee mfalme, sikukosa neno.


watashika nyoka; hata wakinywa kitu cha kuua, hakitawadhuru kamwe; wataweka mikono yao juu ya wagonjwa, nao watapona.


Tazama, nimewapa amri ya kukanyaga nyoka na nge, na nguvu zote za yule adui, wala hakuna kitu kitakachowadhuru.


Naye Mungu wa amani atamponda Shetani chini ya miguu yenu upesi. Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo na iwe pamoja nanyi. [Amina.]


Koo lao ni kaburi wazi, Kwa ndimi zao wametumia hila. Sumu ya fira iko chini ya midomo yao.


Lakini Bwana alisimama pamoja nami akanitia nguvu, ili kwa kazi yangu ule ujumbe utangazwe kwa utimilifu, hata wasikie Mataifa yote; nami nikaokolewa kutoka kwa kinywa cha simba.


Lile joka kuu likatupwa, yule nyoka wa zamani, aitwaye Ibilisi na Shetani, audanganyaye ulimwengu wote; akatupwa hata nchi, na malaika wake wakatupwa pamoja naye.


Daudi akasema, BWANA aliyeniokoa na makucha ya simba, na makucha ya dubu, ataniokoa na mkono wa Mfilisti huyu. Sauli akamwambia Daudi, Nenda, na BWANA atakuwa pamoja nawe.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo