Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 90:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

11 Ni nani aujuaye uweza wa hasira yako? Na ghadhabu yako inayolingana na kicho chako?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Nani anayetambua uzito wa hasira yako? Nani anayejali matokeo ya ghadhabu yako?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Nani anayetambua uzito wa hasira yako? Nani anayejali matokeo ya ghadhabu yako?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Nani anayetambua uzito wa hasira yako? Nani anayejali matokeo ya ghadhabu yako?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Ni nani ajuaye nguvu za hasira yako? Kwa maana ghadhabu yako ni kubwa kama hofu tunayopaswa kuwa nayo kwako.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Ni nani ajuaye nguvu za hasira yako? Kwa maana ghadhabu yako ni kubwa kama hofu tunayopaswa kuwa nayo kwako.

Tazama sura Nakili




Zaburi 90:11
12 Marejeleo ya Msalaba  

Wewe ndiwe utishaye, naam, Wewe; Naye ni nani awezaye kusimama ukasirikapo?


Wenye dhambi walio katika Sayuni wanaogopa; tetemeko limewashika wasiomcha Mungu; Ni nani kwetu sisi awezaye kukaa na moto uangamizao; ni nani kwetu sisi awezaye kukaa na moto uteketezao milele?


Tena ikiwa baada ya hayo hamtaki kunisikiza, ndipo nitawaadhibu zaidi mara saba kwa ajili ya dhambi zenu.


Nanyi ikiwa mnaenda kinyume changu, wala hamtaki kunisikiza; nitaleta mapigo mara saba zaidi juu yenu, kama dhambi zenu zilivyo.


nami nitawapiga, mara saba kwa ajili ya dhambi zenu.


ndipo nami nitawaendea kinyume katika ghadhabu yangu; nami nitawaadhibu mara saba kwa dhambi zenu.


Ni nani awezaye kusimama mbele za ghadhabu yake, naye ni nani awezaye kukaa katika ukali wa hasira yake? Hasira yake kali humwagwa kama moto, nayo majabali yapasuliwa na yeye.


Lakini nitawaonya mtakayemwogopa; mwogopeni yule ambaye akiisha kumwua mtu ana uweza wa kumtupa katika Jehanamu; naam, nawaambia, Mwogopeni huyo.


Basi tukiijua hofu ya Bwana, twawavuta wanadamu; lakini tumedhihirishwa mbele za Mungu. Nami natumaini ya kuwa tumedhihirishwa katika dhamiri zenu pia.


ndipo atakapofanya BWANA mapigo yako yawe ya ajabu, na mapigo ya uzao wako, mapigo makubwa kwa kweli, ya kudumu sana, na magonjwa mazito ya kudumu sana.


Kwa maana siku iliyo kuu, ya hasira yao, imekuja; naye ni nani awezaye kuistahimili?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo