Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 9:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

18 Kwa maana mhitaji hatasahauliwa daima; Matumaini ya wanyonge hayatapotea milele.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Lakini fukara hawatasahauliwa daima; tumaini la maskini halitapotea milele.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Lakini fukara hawatasahauliwa daima; tumaini la maskini halitapotea milele.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Lakini fukara hawatasahauliwa daima; tumaini la maskini halitapotea milele.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Lakini mhitaji hatasahaulika siku zote, wala matumaini ya walioonewa hayatapotea.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Lakini mhitaji hatasahaulika siku zote, wala matumaini ya walioonewa hayatapotea.

Tazama sura Nakili




Zaburi 9:18
15 Marejeleo ya Msalaba  

Atakapoyaelekea maombi yake aliye mkiwa, Asiyadharau maombi yao.


Ili akisikie kilio cha kuugua kwake aliyefungwa, Na kuwafungua walioandikiwa kufa.


Maana atasimama mkono wa kulia wa mhitaji Amwokoe kutoka kwa wanaoihukumu nafsi yake.


Kwa ajili ya kuonewa kwao wanyonge, Kwa ajili ya kuugua kwao wahitaji, Sasa nitasimama, asema BWANA, Nitamweka salama yeye wanayemfyonya.


Ee Mungu, laiti ungewaua waovu! Na laiti watu wa damu wangetoka kwangu;


Yafahamuni hayo, Ninyi mnaomsahau Mungu, Nisije nikawararueni, Asipatikane wa kuwaokoa.


Maana ndiwe tegemeo langu, Ee Bwana MUNGU, Tumaini langu tokea ujana wangu.


Na atawatetea watu walioonewa, Awaokoe wahitaji, na kumwaangamiza mdhalimu.


Maana mlipiza kisasi cha damu awakumbuka, Hakukisahau kilio cha wanyonge.


Maana bila shaka iko thawabu; Na tumaini lako halitabatilika.


Basi utaijua hekima kuwa tamu kwa nafsi yako; Ikiwa umekwisha kuiona; Ndipo itakapofuata thawabu; Wala tumaini lako halitabatilika.


Wenye njaa amewashibisha mema, Na wenye mali amewaondoa mikono mitupu.


Akainua macho yake akawatazama wanafunzi wake, akasema, Heri ninyi mlio maskini, kwa sababu ufalme wa Mungu ni wenu.


Ndugu zangu wapenzi, sikilizeni, Je! Mungu hakuwachagua maskini wa dunia wawe matajiri wa imani na warithi wa ufalme aliowaahidia wampendao?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo