Zaburi 9:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC16 BWANA amejidhihirisha na kutekeleza hukumu; Amemnasa mdhalimu kwa kazi ya mikono yake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Mwenyezi-Mungu amejionesha alivyo; ametekeleza hukumu. Watu waovu wamenaswa kwa matendo yao wenyewe. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Mwenyezi-Mungu amejionesha alivyo; ametekeleza hukumu. Watu waovu wamenaswa kwa matendo yao wenyewe. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Mwenyezi-Mungu amejionesha alivyo; ametekeleza hukumu. Watu waovu wamenaswa kwa matendo yao wenyewe. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Mwenyezi Mungu anajulikana kwa haki yake, waovu wamenaswa katika kazi za mikono yao. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 bwana anajulikana kwa haki yake, waovu wamenaswa katika kazi za mikono yao. Tazama sura |