Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 89:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

9 Wewe ndiwe ukitawalaye kiburi cha bahari. Mawimbi yake yainukapo, wewe unayatuliza.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Wewe watawala machafuko ya bahari; mawimbi yake yakiinuka, wayatuliza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Wewe watawala machafuko ya bahari; mawimbi yake yakiinuka, wayatuliza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Wewe watawala machafuko ya bahari; mawimbi yake yakiinuka, wayatuliza.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Wewe unatawala bahari yenye msukosuko; mawimbi yake yanapoinuka, wewe unayatuliza.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Wewe unatawala bahari yenye msukosuko; wakati mawimbi yake yanapoinuka, wewe unayatuliza.

Tazama sura Nakili




Zaburi 89:9
14 Marejeleo ya Msalaba  

Ni nani aliye mfano wa BWANA, Mungu wetu aketiye juu;


BWANA aketi juu ya Gharika; Naam, BWANA ameshika hatamu ya ufalme milele.


Watuliza kuvuma kwa bahari, Kuvuma kwa mawimbi yake, Na ghasia za watu;


Na haki itakuwa mshipi wa viuno vyake, na uaminifu mshipi wa kujifungia.


wewe uwarehemuye watu elfu nyingi, uwalipaye baba za watu uovu wao vifuani mwa watoto wao baada yao; Mungu aliye mkuu, aliye hodari, BWANA wa majeshi ndilo jina lake;


Yeye huikemea bahari na kuikausha, pia huikausha mito yote; Bashani hulegea, na Karmeli; nalo ua la Lebanoni hulegea.


Nao walipopanda katika mashua, upepo ulikoma.


Akaamka, akaukemea upepo, akaiambia bahari, Nyamaza, utulie. Upepo ukakoma, kukawa shwari kuu.


Wakaingiwa na hofu kuu, wakaambiana, Ni nani huyu, basi, hata upepo na bahari humtii?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo