Zaburi 89:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC8 BWANA, Mungu wa majeshi, Ni nani aliye hodari kama Wewe, Ee YAHU? Na uaminifu wako unakuzunguka. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Ee Mwenyezi-Mungu, Mungu wa majeshi, ni nani mwenye nguvu kama wewe, ee Mwenyezi-Mungu? Uaminifu umekuzunguka pande zote. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Ee Mwenyezi-Mungu, Mungu wa majeshi, ni nani mwenye nguvu kama wewe, ee Mwenyezi-Mungu? Uaminifu umekuzunguka pande zote. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Ee Mwenyezi-Mungu, Mungu wa majeshi, ni nani mwenye nguvu kama wewe, ee Mwenyezi-Mungu? Uaminifu umekuzunguka pande zote. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Ee Bwana Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni, ni nani aliye kama wewe? Ee Mwenyezi Mungu, wewe ni mwenye nguvu, na uaminifu wako unakuzunguka. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Ee bwana Mwenye Nguvu Zote, ni nani aliye kama wewe? Ee bwana, wewe ni mwenye nguvu, na uaminifu wako unakuzunguka. Tazama sura |