Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 89:42 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

42 Umeutukuza mkono wa kulia wa watesi wake; Umewafurahisha wote wanaomchukia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

42 Maadui zake umewapa ushindi; umewafurahisha maadui zake wote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

42 Maadui zake umewapa ushindi; umewafurahisha maadui zake wote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

42 Maadui zake umewapa ushindi; umewafurahisha maadui zake wote.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

42 Umeutukuza mkono wa kuume wa adui zake, umewafanya watesi wake wote washangilie.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

42 Umeutukuza mkono wa kuume wa adui zake, umewafanya watesi wake wote washangilie.

Tazama sura Nakili




Zaburi 89:42
10 Marejeleo ya Msalaba  

Nitakuwa na wasiwasi rohoni mwangu hadi lini, Nikihuzunika moyoni mchana kutwa? Adui yangu atatukuka juu yangu hadi lini?


Nguruwe wa msituni wanauharibu, Na hayawani wa kondeni wanautafuna.


Unatufanya sababu ya ugomvi kwa jirani zetu, Na adui zetu wanacheka wao kwa wao.


BWANA ameyatenda aliyoyakusudia; amelitimiza neno lake, Aliloliamuru siku za kale; Ameangusha hata chini, Wala hakuona huruma; Naye amemfurahisha adui juu yako, Ameitukuza pembe ya watesi wako.


Nami nitauelekeza uso wangu kinyume chenu, nanyi mtapigwa mbele ya adui zenu; hao wawachukiao watatawala juu yenu; nanyi mtakimbia wakati ambao hapana awafukuzaye.


Nami nitaleta upanga juu yenu, utakaopatiliza kisasi cha hilo agano; nanyi mtakutanishwa ndani ya miji yenu; nami nitaleta tauni kati yenu; nanyi mtatiwa mikononi mwa adui.


Amin, amin, nawaambia, Ninyi mtalia na kuomboleza, bali ulimwengu utafurahi; ninyi mtahuzunishwa, lakini huzuni yenu itageuka kuwa furaha.


BWANA atakufanya upigwe mbele ya adui zako; utawatokea juu yao kwa njia moja, lakini utakimbia mbele yao kwa njia saba; nawe utatupwa huku na huko katika falme zote za duniani.


Mgeni aliye kati yako atazidi kupaa juu yako; nawe utazidi kushuka chini.


Nao wakaao juu ya nchi wafurahi juu yao na kushangilia. Nao watapelekeana zawadi wao kwa wao, kwa kuwa manabii hao wawili waliwatesa wao wakaao juu ya nchi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo