Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 89:31 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

31 Wakizivunja amri zangu, Wasiyashike maagizo yangu,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

31 kama wakizivunja kanuni zangu, na kuacha kutii amri zangu,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

31 kama wakizivunja kanuni zangu, na kuacha kutii amri zangu,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

31 kama wakizivunja kanuni zangu, na kuacha kutii amri zangu,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

31 wakihalifu maagizo yangu na kutoshika amri zangu,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

31 kama wakihalifu maagizo yangu na kutoshika amri zangu,

Tazama sura Nakili




Zaburi 89:31
5 Marejeleo ya Msalaba  

lakini fadhili zangu hazitamwondoka, kama vile nilivyomwondolea Sauli, niliyemwondoa mbele yako.


Bali mkighairi, mkaacha kunifuata, ninyi na watoto wenu, msizishike sheria zangu na amri zangu, nilizoziweka mbele yenu, tena mkienda na kuitumikia miungu mingine na kuiabudu,


Tumetenda maovu mengi juu yako, wala hatukuzishika amri, wala sheria, wala hukumu, ulizomwamuru Musa, mtumishi wako.


Mwenzangu amenyosha mkono awadhuru waliopatana naye, Amelivunja agano lake.


Kama mkimwacha BWANA na kuitumikia miungu migeni, ndipo atageuka na kuwatenda mabaya na kuwaangamiza, baada ya kuwatendea mema.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo