Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 89:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

23 Bali nitawaponda watesi wake mbele yake, Nitawapiga wanaomchukia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Mimi nitawaponda wapinzani wake; nitawaangamiza wote wanaomchukia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Mimi nitawaponda wapinzani wake; nitawaangamiza wote wanaomchukia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Mimi nitawaponda wapinzani wake; nitawaangamiza wote wanaomchukia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Nitawaponda adui zake mbele zake na kuwaangamiza watesi wake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Nitawaponda adui zake mbele zake na kuwaangamiza watesi wake.

Tazama sura Nakili




Zaburi 89:23
12 Marejeleo ya Msalaba  

Basi kulikuwa na vita siku nyingi kati ya nyumba ya Sauli na nyumba ya Daudi; Daudi akaendelea akasitawi, lakini nyumba ya Sauli ikaendelea kudhoofika.


Ikawa, mfalme alipokuwa akikaa katika nyumba yake, hapo BWANA alipomstarehesha, asiudhiwe na adui zake waliomzunguka pande zote,


nami nimekuwa pamoja nawe kila ulikokwenda, na kuwakatilia mbali adui zako wote mbele yako; nami nitakufanyia jina kuu, kama jina la wakuu walioko duniani.


Naam, kwa maneno ya chuki wamenizunguka, Wamepigana nami bure.


Adui zake nitawavika aibu, Bali juu yake taji lake litasitawi.


Naam, adui zangu umewafanya wanipe visogo, Nao walionichukia nimewakatilia mbali.


Lakini watu wa mji wake walimchukia, wakatuma wajumbe kumfuata na kusema, Hatumtaki huyu atutawale.


Tena, wale adui zangu, wasiotaka niwatawale, waleteni hapa muwachinje mbele yangu.


Yeye anichukiaye mimi humchukia na Baba yangu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo