Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 89:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

21 Ambaye mkono wangu utakuwa thabiti kwake, Na mkono wangu utamtia nguvu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Mkono wangu wa nguvu utakuwa naye daima; mkono wangu mimi mwenyewe utamwimarisha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Mkono wangu wa nguvu utakuwa naye daima; mkono wangu mimi mwenyewe utamwimarisha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Mkono wangu wa nguvu utakuwa naye daima; mkono wangu mimi mwenyewe utamwimarisha.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Kitanga changu kitamtegemeza, hakika mkono wangu utamtia nguvu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Kitanga changu kitamtegemeza, hakika mkono wangu utamtia nguvu.

Tazama sura Nakili




Zaburi 89:21
11 Marejeleo ya Msalaba  

Basi haya ndiyo maneno ya mwisho ya Daudi. Daudi, mwana wa Yese, anena, Anena huyo mtu aliyeinuliwa juu, Yeye, masihi wake Mungu wa Yakobo, Mtungaji wa nyimbo za Israeli mwenye kupendeza;


Mkono wako ni mkono wenye uweza, Mkono wako una nguvu, Mkono wako wa kulia umetukuka.


usiogope, kwa maana mimi ni pamoja nawe; usifadhaike, kwa maana mimi ni Mungu wako; nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia, naam, nitakushika kwa mkono wa kulia wa haki yangu.


Tazama mtumishi wangu nimtegemezaye; mteule wangu, ambaye nafsi yangu imependezwa naye; nimetia roho yangu juu yake; naye atawatolea mataifa hukumu.


BWANA asema hivi, Wakati uliokubalika nimekujibu, na siku ya wokovu nimekusaidia; nami nitakuhifadhi, nitakutoa uwe agano la watu hawa, ili kuiinua nchi hii, na kuwarithisha urithi uliokuwa ukiwa;


Nami nitawatia nguvu katika BWANA; nao watatembea huku na huko katika jina lake, asema BWANA.


Ndipo Samweli akaitwaa pembe yenye mafuta, akamtia mafuta kati ya ndugu zake; na Roho ya BWANA ikamjia Daudi kwa nguvu kuanzia siku ile. Basi Samweli akaondoka, akaenda zake Rama.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo