Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 89:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

20 Nimemwona Daudi, mtumishi wangu, Nimempaka mafuta yangu matakatifu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Nimempata Daudi, mtumishi wangu; nimemweka wakfu kwa mafuta yangu matakatifu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Nimempata Daudi, mtumishi wangu; nimemweka wakfu kwa mafuta yangu matakatifu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Nimempata Daudi, mtumishi wangu; nimemweka wakfu kwa mafuta yangu matakatifu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Nimemwona Daudi, mtumishi wangu, na nimempaka mafuta yangu matakatifu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Nimemwona Daudi, mtumishi wangu, na nimemtia mafuta yangu matakatifu.

Tazama sura Nakili




Zaburi 89:20
6 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa kuwa yeye aliyetumwa na Mungu huyanena maneno ya Mungu; kwa sababu hamtoi Roho kwa kipimo.


Na alipokwisha kumwondoa huyo, akamwinua Daudi awe mfalme wao ambaye alimshuhudia, akisema, Nimemwona Daudi, mwana wa Yese, mtu anayeupendeza moyo wangu, atakayefanya mapenzi yangu yote.


usiache kumweka yule atakayechaguliwa na BWANA, Mungu wako, awe mfalme juu yako; umweke mmoja katika ndugu zako awe mfalme juu yako; usimtawaze mgeni juu yako, ambaye si ndugu yako.


BWANA akamwambia Samweli, utamlilia Sauli hadi lini, kwa kuwa mimi nimemkataa asiwatawale Waisraeli? Ijaze pembe yako mafuta, uende, nami nitakutuma kwa Yese, Mbethlehemi; maana nimejipatia mfalme katika wanawe.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo