Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 88:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

7 Ghadhabu yako imenilemea, Umenitesa kwa mawimbi yako yote.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Hasira yako imenilemea; umenisonga kwa mawimbi yako yote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Hasira yako imenilemea; umenisonga kwa mawimbi yako yote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Hasira yako imenilemea; umenisonga kwa mawimbi yako yote.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Ghadhabu yako imekuwa nzito juu yangu, umenigharikisha kwa mawimbi yako yote.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Ghadhabu yako imekuwa nzito juu yangu, umenigharikisha kwa mawimbi yako yote.

Tazama sura Nakili




Zaburi 88:7
14 Marejeleo ya Msalaba  

Kichwa changu kikijiinua, waniwinda kama simba; Tena wajionesha kwangu kuwa wa ajabu.


Kwa kuwa mishale ya huyo Mwenyezi iko ndani yangu, Na roho yangu inainywa sumu yake; Vitisho vya Mungu vimejipanga juu yangu.


Kwa sababu ya ghadhabu yako na hasira yako; Maana umeniinua na kunitupilia mbali.


Kwa maana mchana na usiku Mkono wako ulinilemea. Jasho langu likakauka hata nikawa Kama nchi kavu wakati wa kaskazi.


Ee BWANA, usinilaumu katika ghadhabu yako, Wala usiniadhibu kwa ukali wa hasira yako.


Kilindi chapigia kelele kilindi kwa sauti ya maporomoko ya maji yako, Gharika zako zote na mawimbi yako yote yamepita juu yangu.


Nimechoka kwa kulia kwangu, Koo yangu imekauka. Macho yangu yamedhoofika Kwa kumngoja Mungu wangu.


Maana tumeangamia kwa hasira yako, Na kwa ghadhabu yako tumezidiwa.


Maana ulinitupa vilindini, Ndani ya moyo wa bahari; Gharika ya maji ikanizunguka pande zote; Mawimbi yako yote na gharika zako zote zimepita juu yangu.


Nami nikasema, Nimetupwa mbali na macho yako; Lakini nitatazama tena kukabili hekalu lako takatifu.


Amwaminiye Mwana ana uzima wa milele; asiyemwamini Mwana hataona uzima, bali ghadhabu ya Mungu inamkalia.


Yeye mwenyewe alizichukua dhambi zetu katika mwili wake juu ya mti, tukiwa wafu kwa mambo ya dhambi, tuwe hai kwa mambo ya haki; na kwa kupigwa kwake mliponywa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo