Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 88:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

6 Mimi umenilaza chini katika shimo, Katika mahali penye giza vilindini.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Umenitupa katika kina cha kaburi; katika sehemu za giza na kina kikuu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Umenitupa katika kina cha kaburi; katika sehemu za giza na kina kikuu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Umenitupa katika kina cha kaburi; katika sehemu za giza na kina kikuu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Umenitupa katika shimo lenye kina kirefu sana, katika vina vya giza nene.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Umenitupa katika shimo lenye kina kirefu sana, katika vina vya giza nene.

Tazama sura Nakili




Zaburi 88:6
13 Marejeleo ya Msalaba  

Ee BWANA, toka vilindini nimekulilia.


Maana adui ameifuatia nafsi yangu, Ameutupa chini uzima wangu. Amenikalisha mahali penye giza, Kama watu waliokufa zamani.


Akanipandisha toka shimo la uharibifu, Toka udongo wa utelezi; Akaisimamisha miguu yangu mwambani, Akaziimarisha hatua zangu.


Mkondo usinigharikishe, wala vilindi visinimeze, Wala Shimo lisifumbe kinywa chake juu yangu.


Maana fadhili zako kwangu ni nyingi sana; Umeiopoa nafsi yangu na kuzimu.


Njia ya waovu ni kama giza; Hawajui ni kitu gani kiwakwazacho.


Ameniongoza na kunipeleka katika giza Wala si katika nuru.


Nililiitia jina lako, BWANA, kutoka lile shimo Liendalo chini kabisa.


Nami nikasema, Nimetupwa mbali na macho yako; Lakini nitatazama tena kukabili hekalu lako takatifu.


Mimi nimekuja ili niwe nuru ya ulimwengu, ili kila mtu aniaminiye mimi asikae gizani.


Maana, moto umewashwa kwa hasira yangu, Unateketea hata chini ya kuzimu, Unakula dunia pamoja na mazao yake, Unaunguza misingi ya milima.


ni mawimbi ya bahari yasiyozuilika, yakitoa aibu yao wenyewe kama povu; ni nyota zipoteazo, ambao weusi wa giza ndio akiba yao waliowekewa milele.


Na malaika wasioilinda enzi yao wenyewe, lakini wakayaacha makao yao yaliyowahusu, amewaweka katika vifungo vya milele chini ya giza kwa hukumu ya siku ile kuu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo