Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 88:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

4 Nimehesabiwa pamoja nao washukao shimoni; Nimekuwa kama mtu asiye na msaada.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Ninaonekana kama mtu anayekufa, nguvu zangu zote zimeniishia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Ninaonekana kama mtu anayekufa, nguvu zangu zote zimeniishia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Ninaonekana kama mtu anayekufa, nguvu zangu zote zimeniishia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Nimehesabiwa miongoni mwa wale wanaoshuka shimoni; niko kama mtu asiye na nguvu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Nimehesabiwa miongoni mwa wale waendao shimoni, niko kama mtu asiye na nguvu.

Tazama sura Nakili




Zaburi 88:4
14 Marejeleo ya Msalaba  

Roho yangu imezimia, siku zangu zimekoma, Kaburi i tayari kunipokea.


Ee BWANA, unijibu hima, roho yangu imelegea; Usinifiche uso wako, Nisifanane nao washukao shimoni.


Ee BWANA, nitakuita Ewe, mwamba wangu, Usiwe kwangu kama kiziwi. Nisije nikafanana nao washukao shimoni, Ikiwa umeninyamalia.


Mna faida gani katika damu yangu Nishukapo Shimoni? Mavumbi yatakusifu? Yatautangaza uaminifu wako?


Nimesahauliwa kama mfu asiyekumbukwa; Nimekuwa kama chombo kilichovunjika.


Alidharauliwa na kukataliwa na watu; Mtu wa huzuni nyingi, ajuaye sikitiko; Na kama mtu ambaye watu humficha nyuso zao, Alidharauliwa wala hatukumhesabu kuwa kitu.


Amenijaza uchungu, Amenikinaisha kwa pakanga.


ndipo nitakapokushusha pamoja nao washukao shimoni, uende kwa watu wa kale; nami nitakukalisha pande za chini za nchi; mahali palipokuwa ukiwa tangu zamani, pamoja nao washukao shimoni; ili usikaliwe na watu, wala usiweke utukufu wako katika nchi yao walio hai.


Nilishuka hata pande za chini za milima; Hiyo nchi ambayo mapingo yake yanafunga hata milele; Lakini umeipandisha nafsi yangu kutoka humo shimoni, Ee BWANA, Mungu wangu,


Kwa maana hapo tulipokuwa hatuna nguvu, wakati ulipotimia, Kristo alikufa kwa ajili ya waovu.


Naam, sisi wenyewe tulikuwa na hukumu ya mauti katika nafsi zetu ili tusijitumainie nafsi zetu, bali tumtumaini Mungu, awafufuaye wafu,


Maana, alisulubiwa katika udhaifu, lakini anaishi kwa nguvu za Mungu. Maana sisi nasi tu dhaifu katika yeye; lakini tutaishi pamoja naye kwa uweza wa Mungu ulio kwenu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo