Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 88:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

15 Nimeteswa tangu ujana wangu na niko karibu kufa, Nimeumia kwa mapigo yako; nami nimekata tamaa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Nimeteseka na kukaribia kifo tangu ujana wangu; nateseka kwa mapigo yako, niko hoi kabisa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Nimeteseka na kukaribia kifo tangu ujana wangu; nateseka kwa mapigo yako, niko hoi kabisa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Nimeteseka na kukaribia kifo tangu ujana wangu; nateseka kwa mapigo yako, niko hoi kabisa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Tangu ujana wangu nimeteseka, nikakaribia kifo; nimepatwa na mapigo yako, nami nimekata tamaa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Tangu ujana wangu nimeteseka, nikakaribia kifo; nimepatwa na hofu zako, nami nimekata tamaa.

Tazama sura Nakili




Zaburi 88:15
13 Marejeleo ya Msalaba  

Roho yangu imezimia, siku zangu zimekoma, Kaburi i tayari kunipokea.


Nakulilia wewe, wala huniitikii; Nasimama, nawe wanitazama tu.


Kwa kuwa mishale ya huyo Mwenyezi iko ndani yangu, Na roho yangu inainywa sumu yake; Vitisho vya Mungu vimejipanga juu yangu.


Kwa kuwa Wewe ndiwe Mungu uliye nguvu zangu; kwa nini umenitupa? Kwa nini ninakwenda nikihuzunika, adui wakinionea?


Maana nafsi yetu imeinama mavumbini, Tumbo letu limegandamana na nchi.


Maana mchana kutwa nimepigwa, Na kuadhibiwa kila asubuhi.


Lakini BWANA aliridhika kumchubua; Amemhuzunisha; Utakapofanya nafsi yake kuwa dhabihu kwa dhambi, Ataona uzao wake, ataishi siku nyingi, Na mapenzi ya BWANA yatafanikiwa mkononi mwake;


Alidharauliwa na kukataliwa na watu; Mtu wa huzuni nyingi, ajuaye sikitiko; Na kama mtu ambaye watu humficha nyuso zao, Alidharauliwa wala hatukumhesabu kuwa kitu.


Amka, Ee upanga, juu ya mchungaji wangu, na juu ya mtu aliye mwenzangu, asema BWANA wa majeshi; mpige mchungaji, nao kondoo watatawanyika; nami nitaugeuza mkono wangu juu ya wadogo.


Naye kwa vile alivyokuwa katika dhiki, akazidi sana kuomba; jasho yake ikawa kama matone ya damu yakidondoka nchini.]


Tufuate:

Matangazo


Matangazo