Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 87:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

7 Waimbao na wachezao ngoma na waseme, Visima vyangu vyote vimo mwako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Wote wanacheza ngoma na kuimba: “Siyoni, chanzo chetu ni kwako.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Wote wanacheza ngoma na kuimba: “Siyoni, chanzo chetu ni kwako.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Wote wanacheza ngoma na kuimba: “Siyoni, chanzo chetu ni kwako.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Watakapokuwa wanapiga vinanda wataimba, “Chemchemi zangu zote ziko kwako.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Watakapokuwa wanapiga vinanda wataimba, “Chemchemi zangu zote ziko kwako.”

Tazama sura Nakili




Zaburi 87:7
20 Marejeleo ya Msalaba  

Daudi akacheza mbele za BWANA kwa nguvu zake zote; na Daudi alikuwa amevaa naivera ya kitani.


na elfu nne walikuwa mabawabu; na elfu nne walimsifu BWANA kwa vinanda, nilivyovifanya, alisema Daudi, vya kumsifia.


Na walisifu jina lake kwa kucheza, Kwa sauti tamu ya matari na kinubi.


Maana kwako Wewe iko chemchemi ya uzima, Katika nuru yako tutaona nuru.


Kuna mto, vijito vyake vyaufurahisha mji wa Mungu, Patakatifu pa maskani zake Aliye Juu.


Mhimidini Mungu katika mikutano, Bwana katika makusanyiko ya Israeli.


Basi, kwa furaha mtateka maji katika visima vya wokovu.


Baadaye akanileta tena mpaka lango la nyumba; na tazama, maji yalitoka chini ya kizingiti cha nyumba, kwa njia ya mashariki, maana upande wa mbele wa nyumba ulielekea upande wa mashariki; nayo maji yakashuka toka chini ya upande wa kulia wa nyumba, upande wa kusini wa madhabahu.


Kwa kuwa katika utimilifu wake sisi sote tulipokea, na neema juu ya neema.


Yesu akajibu, akamwambia, Kama ungaliijua karama ya Mungu, naye ni nani akuambiaye, Nipe maji ninywe, ungalimwomba yeye, naye angalikupa maji yaliyo hai.


lakini yeyote atakayekunywa maji yale nitakayompa mimi hataona kiu milele; bali yale maji nitakayompa yatakuwa ndani yake chemchemi ya maji, yakibubujikia uzima wa milele.


Kila kutoa kuliko kwema, na kila kitolewacho kilicho kamili, hutoka juu, hushuka kwa Baba wa mianga; kwake hakuna kubadilika, wala kivuli cha kugeukageuka.


Akaniambia, Imekwisha kuwa. Mimi ni Alfa na Omega, Mwanzo na Mwisho. Mimi nitampa yeye aliye na kiu, maji kutoka chemchemi ya maji ya uzima, bure.


Kisha akanionesha mto wa maji ya uzima, wenye kung'aa kama bilauri, ukitoka katika kiti cha enzi cha Mungu, na cha Mwana-kondoo,


Roho na Bibi arusi wasema, Njoo! Naye asikiaye na aseme, Njoo! Naye mwenye kiu na aje; na yeye atakaye, na ayatwae maji ya uzima bure.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo