Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 86:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

7 Siku ya mateso yangu nitakuita, Kwa maana utaniitikia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Siku za taabu nakuita, maana wewe waniitikia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Siku za taabu nakuita, maana wewe waniitikia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Siku za taabu nakuita, maana wewe waniitikia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Katika siku ya shida yangu nitakuita, kwa maana wewe utanijibu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Katika siku ya shida yangu nitakuita, kwa maana wewe utanijibu.

Tazama sura Nakili




Zaburi 86:7
14 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa sauti yangu nitamlilia BWANA, Kwa sauti yangu nitamwomba BWANA dua.


Roho yangu inapozimia unayajua mapito yangu; Katika njia niendayo wamenifichia mtego.


Ee Mungu, nimekuita kwa maana utaitika, Utege sikio lako ulisikie neno langu.


Katika shida yangu nilimwita BWANA, Na kumlalamikia Mungu wangu. Akaisikia sauti yangu hekaluni mwake, Kilio changu kikaingia masikioni mwake.


Uniite siku ya mateso; Nitakuokoa, nawe utanitukuza.


Ataniita nami nitamwitikia; Nitakuwa pamoja naye taabuni, Nitamwokoa na kumtukuza;


BWANA, katika taabu zao walikwenda kwako; waliomba maombi mengi wakati adhabu yako ilipokuwa juu yao.


Akasema, Nilimlilia BWANA kwa sababu ya shida yangu, Naye akaniitikia; Katika tumbo la kuzimu niliomba, Nawe ukasikia sauti yangu.


Naye kwa vile alivyokuwa katika dhiki, akazidi sana kuomba; jasho yake ikawa kama matone ya damu yakidondoka nchini.]


Yeye, siku hizo za mwili wake, alimtolea yule, awezaye kumwokoa na kumtoa katika mauti, maombi na dua pamoja na kulia sana na machozi, akasikilizwa kwa jinsi alivyokuwa mcha Mungu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo