Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 86:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

2 Unihifadhi nafsi yangu, Maana mimi ni mcha Mungu. Wewe uliye Mungu wangu, Umwokoe mtumishi wako anayekutumaini.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Uyahifadhi maisha yangu maana mimi ni mchaji wako; uniokoe mimi mtumishi wako ninayekutegemea.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Uyahifadhi maisha yangu maana mimi ni mchaji wako; uniokoe mimi mtumishi wako ninayekutegemea.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Uyahifadhi maisha yangu maana mimi ni mchaji wako; uniokoe mimi mtumishi wako ninayekutegemea.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Linda maisha yangu, kwa maana nimejiweka kwako, wewe ni Mungu wangu, mwokoe mtumishi wako anayekutumaini.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Linda maisha yangu, kwa maana nimejiweka kwako, wewe ni Mungu wangu, mwokoe mtumishi wako anayekutumaini.

Tazama sura Nakili




Zaburi 86:2
23 Marejeleo ya Msalaba  

Mimi ni wako, uniokoe, Kwa maana nimejifunza mausia yako.


Lakini mimi nimezitumainia fadhili zako; Moyo wangu na uufurahie wokovu wako.


Kwa fadhili zako utawakatilia mbali adui zangu; Na kuwaangamiza wote wanitesao nafsi, Kwa maana mimi ni mtumishi wako.


Mungu, unihifadhi mimi, Kwa maana nakukimbilia Wewe.


Akanitoa akanipeleka panapo nafasi, Aliniponya kwa kuwa alipendezwa nami.


Ee Mungu wangu, Nimekutumainia Wewe, nisiaibike, Adui zangu wasifurahi kwa kunishinda.


Nimekukimbilia Wewe, BWANA, Nisiaibike milele. Kwa haki yako uniponye,


Lakini mimi nakutumaini Wewe, BWANA, Nimesema, Wewe ndiwe Mungu wangu.


Kwa kuwa BWANA hupenda haki, Wala hawaachi watauwa wake. Wao hulindwa milele, Bali mzawa wa wasio haki ataharibiwa.


Bali jueni ya kuwa BWANA amejiteulia mtauwa; BWANA husikia nimwitapo.


Nikusanyieni wacha Mungu wangu Waliofanya agano nami kwa dhabihu.


Mtu akinitumikia, na anifuate; nami nilipo, ndipo na mtumishi wangu atakapokuwapo. Tena mtu akinitumikia, Baba atamheshimu.


Wala mimi simo tena ulimwenguni, lakini hawa wamo ulimwenguni, nami naja kwako. Baba mtakatifu, kwa jina lako ulilonipa uwalinde hawa, ili wawe na umoja kama sisi tulivyo.


Basi, kama ni hivyo, atakaye kumrehemu humrehemu, na atakaye kumfanya mgumu humfanya mgumu.


Yeye atailinda miguu ya watakatifu wake; Bali waovu watanyamazishwa gizani, Maana kwa nguvu hakuna atakayeshinda;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo