Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 86:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

16 Unielekee na kunifadhili mimi; Mpe mtumishi wako nguvu zako, Umwokoe mwana wa mjakazi wako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Unigeukie, unihurumie; unijalie nguvu yako mimi mtumishi wako, umwokoe mtoto wa mjakazi wako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Unigeukie, unihurumie; unijalie nguvu yako mimi mtumishi wako, umwokoe mtoto wa mjakazi wako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Unigeukie, unihurumie; unijalie nguvu yako mimi mtumishi wako, umwokoe mtoto wa mjakazi wako.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Nigeukie na unihurumie; mpe mtumishi wako nguvu zako, mwokoe mwana wa mjakazi wako.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Nigeukie na unihurumie; mpe mtumishi wako nguvu zako, mwokoe mwana wa mtumishi wako wa kike.

Tazama sura Nakili




Zaburi 86:16
18 Marejeleo ya Msalaba  

Ee BWANA, hakika mimi ni mtumishi wako, Mtumishi wako, mwana wa mjakazi wako, Umevifungua vifungo vyangu.


Unigeukie na kunirehemu, Kama ilivyo desturi yako kwa walipendalo jina lako.


Mimi ni wako, uniokoe, Kwa maana nimejifunza mausia yako.


Siku ile niliyokuita uliniitikia, Ukanifariji nafsi kwa kunitia nguvu.


Uniangalie na kunifadhili, Maana mimi ni mkiwa na mteswa.


Adui zangu wananitaja kwa maneno mabaya, Atakufa lini, jina lake lipotee?


Ee BWANA, unijibu, maana fadhili zako ni njema, Kwa kadiri ya rehema zako unielekee.


Heri ambaye nguvu zake zatoka kwako, Na njia ziendazo Sayuni zimo moyoni mwake.


Urudi, Ee BWANA utakasirika hadi lini? Wahurumie watumishi wako.


Mmoja ataniambia, Kwa BWANA, peke yake, iko haki na nguvu; naam, watu watamwendea yeye, na wote waliomkasirikia watatahayarika.


Nami nitawatia nguvu katika BWANA; nao watatembea huku na huko katika jina lake, asema BWANA.


Mariamu akasema, Tazama, mimi ni mjakazi wa Bwana; na iwe kwangu kama ulivyosema. Kisha malaika akaondoka akaenda zake.


awajalieni, kwa kadiri ya utajiri wa utukufu wake, kufanywa imara kwa nguvu, kwa kazi ya Roho wake katika utu wa ndani.


Hatimaye, mzidi kuwa hodari katika Bwana na katika uweza wa nguvu zake.


Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu.


mkiwezeshwa kwa uwezo wote, kwa kadiri ya nguvu ya utukufu wake, mpate kuwa na subira ya kila namna na uvumilivu pamoja na furaha;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo