Zaburi 85:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC8 Na nisikie atakavyosema Mungu BWANA, Maana atawaambia watu wake amani, Naam, na watauwa wake pia, Bali wasiurudie upumbavu tena. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Hebu nisikie anachosema Mwenyezi-Mungu; maana anaahidi kuwapa watu wake amani, watu wake mwenyewe wasiporudia upuuzi wao Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Hebu nisikie anachosema Mwenyezi-Mungu; maana anaahidi kuwapa watu wake amani, watu wake mwenyewe wasiporudia upuuzi wao Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Hebu nisikie anachosema Mwenyezi-Mungu; maana anaahidi kuwapa watu wake amani, watu wake mwenyewe wasiporudia upuuzi wao Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Nitasikiliza lile atakalosema Mungu aliye Mwenyezi Mungu; anaahidi amani kwa watu wake, watakatifu wake: lakini nao wasirudie upumbavu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Nitasikiliza lile atakalosema Mungu aliye bwana; anaahidi amani kwa watu wake, watakatifu wake: lakini nao wasirudie upumbavu. Tazama sura |