Zaburi 85:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC6 Je! Hutaki kurudi na kutuhuisha, Ili watu wako wakufurahie? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Je, hutatujalia tena maisha mapya, ili watu wako wafurahi kwa sababu yako? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Je, hutatujalia tena maisha mapya, ili watu wako wafurahi kwa sababu yako? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Je, hutatujalia tena maisha mapya, ili watu wako wafurahi kwa sababu yako? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Je, hutatuhuisha tena, ili watu wako wakufurahie? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Je, hutatuhuisha tena, ili watu wako wakufurahie? Tazama sura |
itasikika tena sauti ya furaha na sauti ya shangwe, sauti ya bwana arusi na sauti ya bibi arusi, sauti yao wasemao Mshukuruni BWANA wa majeshi, maana BWANA ni mwema, rehema zake ni za milele; na sauti zao waletao sadaka za shukrani nyumbani kwa BWANA. Kwa kuwa nitawarudisha wafungwa wa nchi hii kama kwanza, asema BWANA.