Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 85:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

3 Umeiondoa ghadhabu yako yote, Umerudi na kuuacha ukali wa hasira yako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Umeizuia ghadhabu yako yote; umeiacha hasira yako kali.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Umeizuia ghadhabu yako yote; umeiacha hasira yako kali.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Umeizuia ghadhabu yako yote; umeiacha hasira yako kali.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Uliweka kando ghadhabu yako yote na umegeuka na kuiacha hasira yako kali.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Uliweka kando ghadhabu yako yote na umegeuka na kuiacha hasira yako kali.

Tazama sura Nakili




Zaburi 85:3
17 Marejeleo ya Msalaba  

basi uyasikie toka mbinguni, toka makaoni mwako, wayaombayo, na kusihi, ukaitetee haki yao; ukawasamehe watu wako, waliokosa juu yako.


Akasema ya kuwa atawaangamiza Kama Musa, mteule wake, asingalisimama, Mbele zake na kusimama palipobomoka, Ili aigeuze hasira yake asije akawaangamiza.


Lakini Yeye, kwa kuwa anayo rehema, Husamehe uovu wala haangamizi. Mara nyingi huipishia mbali ghadhabu yake, Wala haiwashi hasira yake yote.


Haruni akasema, Hasira ya bwana wangu isiwake, wewe unawajua watu hawa, ya kuwa wamejielekeza kwa mabaya.


Na katika siku hiyo utasema, Ee BWANA, nitakushukuru wewe; Kwa kuwa ijapokuwa ulinikasirikia, Hasira yako imegeukia mbali, Nawe unanifariji moyo.


Watulizeni mioyo, watulizeni mioyo, watu wangu, asema Mungu wenu.


Semeni na moyo wa Yerusalemu, kauambieni kwa sauti kuu ya kwamba vita vyake vimekwisha, uovu wake umeachiliwa; kwa kuwa amepokea kwa mkono wa BWANA adhabu maradufu kwa dhambi zake zote.


akanigusa kinywa changu kwa kaa hilo, akaniambia, Tazama, hili limekugusa midomo yako, na uovu wako umeondolewa, na dhambi yako imefunikwa.


Katika siku hizo na wakati huo, asema BWANA, uovu wa Israeli utatafutwa, wala hakuna uovu; na dhambi za Yuda zitatafutwa, wala hazitaonekana; maana nitawasamehe wale niwaachao kuwa mabaki.


upate kukumbuka, na kufadhaika, usifumbue kinywa chako tena, kwa sababu ya aibu yako; hapo nitakapokusamehe yote uliyoyatenda, asema Bwana MUNGU.


Ni nani ajuaye kwamba Mungu hatageuka na kughairi, na kuiacha hasira yake kali, ili msiangamizwe?


Atarejea na kutuhurumia; atayakanyaga maovu yetu; nawe utazitupa dhambi zao zote katika vilindi vya bahari.


Kesho yake alimwona Yesu akija kwake, akasema, Tazama, Mwana-kondoo wa Mungu, aichukuaye dhambi ya ulimwengu!


Kisishikamane na mkono wako kitu chochote katika kitu kilichoharimishwa; ili ageuke BWANA na ukali wa hasira zake akurehemu, akuonee huruma, na kukufanya kuwa wengi, kama alivyowaapia baba zako;


Furahini, enyi mataifa, pamoja na watu wake; Kwa maana atatwaa kisasi kwa damu ya watumwa wake, Atawatoza kisasi adui zake, Tena atafanya kafara kwa nchi yake, na watu wake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo