Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 85:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

10 Fadhili na kweli zitakutana, Haki na amani zitakumbatiana.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Fadhili zake na uaminifu vitakutana; uadilifu na amani vitaungana.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Fadhili zake na uaminifu vitakutana; uadilifu na amani vitaungana.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Fadhili zake na uaminifu vitakutana; uadilifu na amani vitaungana.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Upendo na uaminifu hukutana pamoja, haki na amani hubusiana.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Upendo na uaminifu hukutana pamoja, haki na amani hubusiana.

Tazama sura Nakili




Zaburi 85:10
17 Marejeleo ya Msalaba  

Maana BWANA ni mwema; Rehema zake ni za milele; Na uaminifu wake katika vizazi vyote.


Milimana iwaletee watu amani, Na pamoja na vilima, ilete haki.


Haki na hukumu ndio msingi wa kiti chako, Fadhili na kweli zimo mbele za uso wako.


Rehema na kweli zisiachane nawe; Zifunge shingoni mwako; Ziandike juu ya kibao cha moyo wako.


Mmoja ataniambia, Kwa BWANA, peke yake, iko haki na nguvu; naam, watu watamwendea yeye, na wote waliomkasirikia watatahayarika.


Mimi ninaleta karibu haki yangu, haitakuwa mbali, na wokovu wangu hautakawia; nami nitaweka wokovu katika Sayuni kwa ajili ya Israeli, utukufu wangu.


Wewe utamtimilizia Yakobo kweli yako, na Abrahamu rehema zako, ulizowaapia baba zetu tangu siku za kale.


Atukuzwe Mungu juu mbinguni, Na duniani iwe amani kwa watu aliowaridhia.


Kwa kuwa torati ilitolewa kwa mkono wa Musa; neema na kweli zilikuja kwa mkono wa Yesu Kristo.


Basi tukiisha kuhesabiwa haki itokayo katika imani, na muwe na amani kwa Mungu, kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo,


ili kwamba, kama vile dhambi ilivyotawala katika mauti, vivyo hivyo kwa njia ya haki neema itawale hata uzima wa milele kwa Yesu Kristo Bwana wetu.


ambaye Abrahamu alimgawia sehemu ya kumi ya vitu vyote; (tafsiri ya jina lake kwanza ni mfalme wa haki, tena, mfalme wa Salemu, maana yake, mfalme wa amani;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo