Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 83:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

5 Maana wanashauriana kwa moyo mmoja, Juu yako wanafanyana agano.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Naam, wanakubaliana kwa moyo mmoja, wanakula kiapo dhidi yako:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Naam, wanakubaliana kwa moyo mmoja, wanakula kiapo dhidi yako:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Naam, wanakubaliana kwa moyo mmoja, wanakula kiapo dhidi yako:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Kwa nia moja wanapanga njama pamoja, wanafanya muungano dhidi yako,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Kwa nia moja wanapanga mashauri mabaya pamoja, wanafanya muungano dhidi yako,

Tazama sura Nakili




Zaburi 83:5
19 Marejeleo ya Msalaba  

tazama, jinsi wanavyotulipa, wakija kututupa toka milki yako, uliyoturithisha.


Akaona haitoshi kumtia mikono Mordekai peke yake; maana wamemjulisha kabila lake Mordekai; kwa hiyo Hamani alitaka kuwaangamiza Wayahudi wote waliokuwa wakikaa katika ufalme wote mzima wa Ahasuero, yaani, watu wake Mordekai.


Papo hapo wangalitumeza hai, Hasira yao ilipowaka juu yetu.


Wafalme wa dunia wanajipanga, Na wakuu wanafanya shauri pamoja, Juu ya BWANA, Na juu ya masihi wake,


Walisema mioyoni mwao, Na tuwaangamize kabisa; Mahali penye mikutano ya Mungu Wamepachoma moto katika nchi pia.


Hapana hekima, wala ufahamu, Wala shauri, juu ya BWANA.


Kisha watu wa nyumba ya Daudi wakaambiwa kwamba Shamu wamefanya mapatano na Efraimu. Na moyo wake ukataharuki, na moyo wa watu wake, kama miti ya mwituni itikiswavyo na upepo.


Je! Hufikiri neno hili walilolisema watu hawa, wakinena, Jamaa zile mbili alizozichagua BWANA amezitupilia mbali? Hivyo ndivyo wanavyowadharau watu wangu, ili wasiwe taifa tena mbele yao.


Bwana MUNGU asema hivi; Kwa kuwa Wafilisti wametenda mambo kwa kujilipiza kisasi, nao wamejilipiza kisasi kwa moyo wa ujeuri, ili kupaangamiza kwa uadui wa daima;


Na sasa mataifa mengi wamekusanyika juu yako, wasemao, Na atiwe unajisi; macho yetu na yaone shari ya Sayuni.


Maana Wakanaani na wenyeji wote wa nchi hii watasikia habari hii, nao watatuzingira, na kulifuta jina letu katika nchi. Nawe utafanya nini kwa ajili ya jina lako kuu?


Hawa wana shauri moja, nao wampa yule mnyama nguvu zao na mamlaka yao.


Kisha nikamwona huyo mnyama, na wafalme wa nchi, na majeshi yao, wamekutana kufanya vita na yeye aketiye juu ya farasi yule, tena na majeshi yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo