Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 83:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

3 Juu ya watu wako wanafanya hila, Na kushauriana juu yao uliowaficha.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Wanapanga kwa hila kuwadhuru watu wako; wanashauriana dhidi ya hao unaowalinda.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Wanapanga kwa hila kuwadhuru watu wako; wanashauriana dhidi ya hao unaowalinda.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Wanapanga kwa hila kuwadhuru watu wako; wanashauriana dhidi ya hao unaowalinda.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Kwa ujanja, wanapanga njama dhidi ya watu wako; wanapanga hila dhidi ya wale unaowapenda.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Kwa hila, wanafanya shauri dhidi ya watu wako, wanafanya shauri baya dhidi ya wale unaowapenda.

Tazama sura Nakili




Zaburi 83:3
12 Marejeleo ya Msalaba  

Huotea faraghani kama simba pangoni, Huotea amkamate mtu mnyonge. Naam, humkamata mtu mnyonge, Na kumkokota akiwa wavuni mwake.


Mbona mataifa yanafanya ghasia, Na watu kuwaza mambo ya bure?


Maana atanisitiri bandani mwake siku ya mabaya, Atanisitiri katika sitara ya hema yake, Na kuniinua juu ya mwamba.


Utawasitiri kutoka kwa fitina za watu Katika maficho ya kuwapo kwako; Utawaficha katika hema Na ushindani wa ndimi.


Hukutanika, hujificha, huziangalia nyayo zangu, Kwa kuwa waliniotea ili waniue.


Unifiche mbali na njama za watenda mabaya, Mbali na mipango ya watu wafanyao maovu;


Aketiye mahali pa siri pake Aliye Juu Atakaa katika uvuli wake Mwenyezi.


Haya! Na tuwatendee kwa akili, wasije wakaongezeka; tena, ikitokea vita, wao nao wasije wakashikamana na adui zetu na kupigana nasi, na kutoka katika nchi hii.


Kwa maana mlikufa, na uhai wenu umefichwa pamoja na Kristo katika Mungu.


Basi, hakukuwa mhunzi yeyote katika nchi yote ya Israeli; kwa kuwa Wafilisti walisema, Waebrania wasije wakajitengenezea panga au mikuki;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo