Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 83:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

12 Ambao Walisema, Na tutamalaki makao ya Mungu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 ambao walisema: “Tutajitekea nchi ya Mungu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 ambao walisema: “Tutajitekea nchi ya Mungu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 ambao walisema: “Tutajitekea nchi ya Mungu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 ambao walisema, “Na tumiliki maeneo ya malisho ya Mungu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 ambao walisema, “Na tumiliki nchi ya malisho ya Mungu.”

Tazama sura Nakili




Zaburi 83:12
5 Marejeleo ya Msalaba  

tazama, jinsi wanavyotulipa, wakija kututupa toka milki yako, uliyoturithisha.


Wamesema, Njoni, tuwakatilie mbali wasiwe taifa, Na jina la Israeli halitakumbukwa tena.


Wakawashika hao wakuu wawili wa Midiani, Orebu na Zeebu; wakamwua huyo Orebu pale penye jabali la Orebu, na huyo Zeebu wakamwua hapo penye shinikizo la divai la Zeebu, kisha wakawaandamia Wamidiani; vichwa vya Orebu na Zeebu wakamletea Gideoni huko ng'ambo ya pili ya Yordani.


Ndipo hapo Zeba na Salmuna wakasema, Simama wewe utuue sisi; kwa maana kama mtu alivyo, ndivyo zilivyo nguvu zake. Basi Gideoni akasimama, akawaua Zeba na Salmuna, akazitwaa koja zilizokuwa katika shingo za ngamia wao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo