Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 83:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

11 Uwafanye wakuu wao kama Orebu na Zeebu, Na wakuu wao wote kama Zeba na Zalmuna.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Uwatende wakuu wao kama Orebu na Zeebu; watawala wao wote kama Zeba na Zalmuna,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Uwatende wakuu wao kama Orebu na Zeebu; watawala wao wote kama Zeba na Zalmuna,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Uwatende wakuu wao kama Orebu na Zeebu; watawala wao wote kama Zeba na Zalmuna,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Wafanye wakuu wao kama Orebu na Zeebu, watawala wao kama Zeba na Salmuna,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Wafanye wakuu wao kama Orebu na Zeebu, watawala wao kama Zeba na Salmuna,

Tazama sura Nakili




Zaburi 83:11
4 Marejeleo ya Msalaba  

Na mzoga wa Yezebeli utakuwa kama mavi juu ya uso wa mashamba, katika kiwanja cha Yezreeli; hata wasipate kusema, Huyu ni Yezebeli.


nao wataitawanya mbele ya jua, na mwezi, na jeshi lote la mbinguni, walivyovipenda, na kuvitumikia, na kuandamana navyo, na kuvitafuta, na kuviabudu haitakusanywa pamoja tena, wala kuzikwa; itakuwa ni samadi juu ya uso wa nchi.


Wakawashika hao wakuu wawili wa Midiani, Orebu na Zeebu; wakamwua huyo Orebu pale penye jabali la Orebu, na huyo Zeebu wakamwua hapo penye shinikizo la divai la Zeebu, kisha wakawaandamia Wamidiani; vichwa vya Orebu na Zeebu wakamletea Gideoni huko ng'ambo ya pili ya Yordani.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo