Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 83:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

10 Ambao waliangamizwa Endori; Wakawa samadi juu ya nchi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 watu uliowaangamiza kule Endori, wakawa takataka juu ya nchi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 watu uliowaangamiza kule Endori, wakawa takataka juu ya nchi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 watu uliowaangamiza kule Endori, wakawa takataka juu ya nchi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 ambao waliangamia huko Endori na wakawa kama kinyesi juu ya ardhi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 ambao waliangamia huko Endori na wakawa kama takataka juu ya nchi.

Tazama sura Nakili




Zaburi 83:10
10 Marejeleo ya Msalaba  

Na mzoga wa Yezebeli utakuwa kama mavi juu ya uso wa mashamba, katika kiwanja cha Yezreeli; hata wasipate kusema, Huyu ni Yezebeli.


watakufa kwa maradhi mabaya; hawataliliwa, wala hawatazikwa; watakuwa kama samadi juu ya uso wa nchi; nao wataangamizwa kwa upanga, na kwa njaa; na mizoga yao itakuwa chakula cha ndege wa angani, na cha wanyama wa nchi.


nao wataitawanya mbele ya jua, na mwezi, na jeshi lote la mbinguni, walivyovipenda, na kuvitumikia, na kuandamana navyo, na kuvitafuta, na kuviabudu haitakusanywa pamoja tena, wala kuzikwa; itakuwa ni samadi juu ya uso wa nchi.


Nami nitawaletea wanadamu dhiki, hata watakwenda kama vipofu, kwa sababu wamemtenda BWANA dhambi; na damu yao itamwagwa kama mavumbi, na nyama yao kama mavi.


Tena Manase alikuwa na miji katika Isakari na katika Asheri, nayo ni hii, Beth-sheani na vijiji vyake, Ibleamu na miji yake, wenyeji wa Dori na miji yake, wenyeji wa Endori na miji yake, wenyeji wa Taanaki na miji yake, wenyeji wa Megido na miji yake, na pia theluthi ya Nafathi.


BWANA akamfadhaisha Sisera na magari yake yote, na jeshi lake lote, kwa makali ya upanga, mbele ya Baraka; basi Sisera akashuka katika gari lake, akakimbia kwa miguu.


Lakini Baraka akayafuatia magari, na jeshi, hadi Haroshethi wa Mataifa; na hilo jeshi lote la Sisera likaanguka kwa makali ya upanga; hakusalia hata mtu mmoja.


Mto ule wa Kishoni uliwachukua, Ule mto wa zamani, mto wa Kishoni. Ee roho yangu, endelea mbele kwa nguvu.


Wakawashika hao wakuu wawili wa Midiani, Orebu na Zeebu; wakamwua huyo Orebu pale penye jabali la Orebu, na huyo Zeebu wakamwua hapo penye shinikizo la divai la Zeebu, kisha wakawaandamia Wamidiani; vichwa vya Orebu na Zeebu wakamletea Gideoni huko ng'ambo ya pili ya Yordani.


Ndipo Sauli akawaambia watumishi wake, Nitafutieni mwanamke mwenye pepo wa utambuzi, nipate kumwendea na kuuliza kwake. Watumishi wake wakamwambia, Tazama, yuko mwanamke mwenye pepo wa utambuzi huko Endori.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo