Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 81:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

4 Kwa maana ni sheria kwa Israeli, Ni hukumu ya Mungu wa Yakobo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Hiyo ndiyo kanuni katika Israeli; hilo ndilo agizo la Mungu wa Yakobo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Hiyo ndiyo kanuni katika Israeli; hilo ndilo agizo la Mungu wa Yakobo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Hiyo ndiyo kanuni katika Israeli; hilo ndilo agizo la Mungu wa Yakobo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 hii ni amri kwa Israeli, agizo la Mungu wa Yakobo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 hii ni amri kwa Israeli, agizo la Mungu wa Yakobo.

Tazama sura Nakili




Zaburi 81:4
2 Marejeleo ya Msalaba  

Tena katika siku ya furaha yenu, na katika sikukuu zenu zilizoamriwa, na katika kuandama miezi kwenu, mtapiga hizo tarumbeta juu ya sadaka zenu za kuteketezwa, na juu ya dhabihu za sadaka zenu za amani; nazo zitakuwa kwenu ni ukumbusho mbele za Mungu wenu; mimi ndimi BWANA, Mungu wenu.


Tena katika mianzo ya miezi yenu mtamsogezea BWANA sadaka ya kuteketezwa; nayo ni ng'ombe dume wadogo wawili, na kondoo dume mmoja, na wana-kondoo wa kiume wa mwaka wa kwanza, wakamilifu, saba;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo