Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 81:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

16 Naam, ningewalisha kwa ngano iliyo bora zaidi, Ningewashibisha kwa asali itokayo mwambani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Lakini wewe ningekulisha kwa ngano bora, ningekushibisha kwa asali ya mwambani.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Lakini wewe ningekulisha kwa ngano bora, ningekushibisha kwa asali ya mwambani.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Lakini wewe ningekulisha kwa ngano bora, ningekushibisha kwa asali ya mwambani.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Bali ninyi mngelishwa ngano iliyo bora, na kuwatosheleza kwa asali inayotoka kwenye mwamba.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Bali ninyi mngalilishwa ngano iliyo bora, na kuwatosheleza kwa asali itokayo kwenye mwamba.”

Tazama sura Nakili




Zaburi 81:16
9 Marejeleo ya Msalaba  

Wakati hatua zangu zilipokuwa zikioshwa kwa siagi, Nalo jabali liliponimiminia mito ya mafuta!


Ndiye aletaye amani mipakani mwako, Hukushibisha kwa ngano safi.


Wageni nao walitepetea, Walitoka katika ngome zao wakitetemeka.


Na sakafu za kupepetea zitajaa ngano, na mashinikizo yatafurika kwa divai na mafuta.


Laiti wangekuwa na moyo kama huu ndani yao sikuzote, wa kunicha, na kushika amri zangu zote sikuzote, wapate kufanikiwa wao na watoto wao milele!


Nao watu wa mji wakamwambia siku ya saba kabla ya jua kuchwa, Ni kitu gani kilicho tamu kuliko asali? Ni kitu gani kilicho na nguvu kuliko simba? Naye akawaambia, Msingelima na mtamba wangu, Hamngekitegua kitendawili changu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo