Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 81:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

14 Ningewadhili adui zao kwa upesi, Na juu ya watesi wao ningegeuza mkono wangu;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Ningewashinda maadui zao haraka; ningenyosha mkono dhidi ya wadhalimu wao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Ningewashinda maadui zao haraka; ningenyosha mkono dhidi ya wadhalimu wao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Ningewashinda maadui zao haraka; ningenyosha mkono dhidi ya wadhalimu wao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 ningewatiisha adui zao kwa haraka, na kuugeuza mkono wangu dhidi ya watesi wao!

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 ningaliwatiisha adui zao kwa haraka, na kuugeuza mkono wangu dhidi ya watesi wao!

Tazama sura Nakili




Zaburi 81:14
9 Marejeleo ya Msalaba  

Amewatiisha watu wa nchi chini yetu, Na mataifa chini ya miguu yetu.


Laiti ungalisikiliza amri zangu! Ndipo amani yako ingalikuwa kama mto wa maji, na haki yako kama mawimbi ya bahari;


Nami nitamkatilia mbali mwenyeji katika Ashdodi; na yeye aishikaye fimbo ya enzi katika Ashkeloni; nami nitaugeuza mkono wangu uwe juu ya Ekroni; na mabaki ya Wafilisti wataangamia, asema Bwana MUNGU.


Amka, Ee upanga, juu ya mchungaji wangu, na juu ya mtu aliye mwenzangu, asema BWANA wa majeshi; mpige mchungaji, nao kondoo watatawanyika; nami nitaugeuza mkono wangu juu ya wadogo.


Ndipo Mwamaleki, na Mkanaani waliokaa huko mlimani, wakateremka, wakawapiga na kuwaangusha, hadi wakafika Horma.


Lakini msimwasi BWANA, wala msiwaogope wale wenyeji wa nchi, maana wao ni chakula kwetu; kinga iliyokuwa juu yao imeondolewa, naye BWANA yuko pamoja nasi; msiwaogope.


Na sasa, Israeli, BWANA, Mungu wako, anataka nini kwako, ila umche BWANA, Mungu wako, na kwenda katika njia zake zote, na kumpenda, na kumtumikia BWANA, Mungu wako, kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote;


jueni hakika ya kuwa BWANA, Mungu wenu, hatawafukuza tena mataifa haya mbele ya macho yenu, bali watakuwa mtego kwenu na tanzi, na mjeledi mbavuni mwenu, na miiba machoni mwenu, hadi mtakapoangamia na kutoka katika nchi hii njema, ambayo BWANA, Mungu wenu, amewapa ninyi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo