Zaburi 81:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC12 Nikawaacha wakaenda kwa ukaidi wa mioyo yao, Waenende katika mashauri yao. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Hivyo, nikawaacha wabaki na ukaidi wao; wafuate mashauri yao wenyewe. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Hivyo, nikawaacha wabaki na ukaidi wao; wafuate mashauri yao wenyewe. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Hivyo, nikawaacha wabaki na ukaidi wao; wafuate mashauri yao wenyewe. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Basi niliwaacha katika ukaidi wa mioyo yao wafuate mashauri yao wenyewe. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Basi niliwaacha katika ukaidi wa mioyo yao wafuate mashauri yao wenyewe. Tazama sura |