Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 81:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

11 Lakini watu wangu hawakuisikiliza sauti yangu, Wala Israeli hawakunitaka.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 “Lakini watu wangu hawakunisikiliza; Israeli hakunitaka kabisa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 “Lakini watu wangu hawakunisikiliza; Israeli hakunitaka kabisa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 “Lakini watu wangu hawakunisikiliza; Israeli hakunitaka kabisa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 “Lakini watu wangu hawakunisikiliza; Israeli hakunitii.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 “Lakini watu wangu hawakutaka kunisikiliza; Israeli hakutaka kunitii.

Tazama sura Nakili




Zaburi 81:11
16 Marejeleo ya Msalaba  

Akasema, Nenda, ukaazime vyombo huko nje kwa jirani zako wote, vyombo vitupu; wala usiazime vichache.


Musa na Haruni wakawaambia wana wote wa Israeli, Jioni ndipo mtakapojua ya kuwa BWANA amewaleta kutoka nchi ya Misri;


Mimi ni BWANA, Mungu wako, niliyekutoa katika nchi ya Misri, katika nyumba ya utumwa.


Hata watu walipoona ya kuwa Musa amekawia kushuka katika mlima, wakakusanyana wakamwendea Haruni, wakamwambia, Haya! Katufanyizie miungu itakayokwenda mbele yetu, kwa maana Musa huyo aliyetutoa katika nchi ya Misri hatujui yaliyompata.


Basi waambie wana wa Israeli, Mimi ni BWANA nami nitawatoa ninyi mtoke chini ya ukandamizaji wa Wamisri, nami nitawaokoa kutoka utumwa wao, nami nitawakomboa kwa mkono ulionyoshwa, na kwa hukumu kubwa;


Hawakukubali mashauri yangu, Wakayadharau maonyo yangu yote.


Kwa hiyo, angalia, siku zinakuja, asema BWANA, ambapo hawatasema tena, Aishivyo BWANA, aliyewaleta wana wa Israeli toka nchi ya Misri;


Lakini hao walikataa kusikiliza, wakageuza bega lao, wakaziba masikio yao ili wasisikie.


Nitairudia nyumba yangu niliyotoka.


Lakini Yeshuruni alinenepa, akapiga teke; Umenenepa, umekuwa mnene, umewanda; Ndipo akamwacha Mungu aliyemfanya, Akamdharau Mwamba wa wokovu wake.


Humkumbuki Mwamba aliyekuzaa, Mungu aliyekuzaa umemsahau.


Mimi ni BWANA, Mungu wako, niliyekutoa katika nchi ya Misri, katika nyumba ya utumwa.


Mwaonaje? Haikumpasa adhabu iliyo kubwa zaidi mtu yule aliyemkanyaga Mwana wa Mungu, na kuihesabu damu ya agano aliyotakaswa kwayo kuwa ni kitu ovyo, na kumfanyia jeuri Roho wa neema?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo