Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 80:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

8 Ulileta mzabibu kutoka Misri, Ukawafukuza mataifa ukaupanda.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Ulileta mzabibu kutoka Misri; ukawafukuza watu wa mataifa mengine, na kuupanda katika nchi yao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Ulileta mzabibu kutoka Misri; ukawafukuza watu wa mataifa mengine, na kuupanda katika nchi yao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Ulileta mzabibu kutoka Misri; ukawafukuza watu wa mataifa mengine, na kuupanda katika nchi yao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Ulileta mzabibu kutoka Misri, ukawafukuza mataifa, ukaupanda.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Ulileta mzabibu kutoka Misri, ukawafukuza mataifa, ukaupanda.

Tazama sura Nakili




Zaburi 80:8
16 Marejeleo ya Msalaba  

Ee BWANA, nisiaibishwe, maana nimekuita; Waaibishwe wasio haki, wanyamaze kuzimuni.


Wewe kwa mkono wako uliwafukuza mataifa, Ukawakalisha wao. Wewe uliwatesa watu wa nchi, Ukawafanikisha wao.


Umewaonesha watu wako mazito, Na kutunywesha mvinyo ya kutuyumbisha.


Akawafukuza mataifa mbele yao, Akawapimia urithi kwa kamba, Na kuwakalisha makabila ya Israeli katika hema zao.


Wachungaji wengi wameliharibu shamba langu la mizabibu, wamelikanyaga fungu langu chini ya miguu yao, wamefanya fungu langu zuri kuwa jangwa la ukiwa.


Nami nilikuwa nimekupanda, mzabibu mwema sana, mbegu nzuri kabisa; umegeukaje, basi, kuwa mche usiofaa wa mzabibumwitu machoni pangu?


Basi Bwana MUNGU asema hivi; Kama mzabibu kati ya miti ya msituni, niliyoupa moto uwe kuni, ndivyo nitakavyowatoa wakaao Yerusalemu.


Ikakua, ikawa mzabibu wenye kuenea sana, wa kimo kifupi, ambao matawi yake yalimgeukia, na mizizi yake ilikuwa chini yake; basi ukawa mzabibu, ukatoa matawi, ukachipuza vichipuko.


Mama yako alikuwa kama mzabibu, katika damu yako, uliopandwa karibu na maji; akazaa sana na kujaa matawi, kwa sababu ya maji mengi.


ambayo baba zetu, kwa kupokezana, wakaiingiza pamoja na Yoshua katika milki ya Mataifa wale, ambao Mungu aliwafukuza mbele ya baba zetu, mpaka siku za Daudi;


na watu wote wenye kukaa nchi za vilima kutoka Lebanoni hadi Misrefoth-maimu, maana, hao Wasidoni wote; hao wote nitawafukuza watoke mbele ya wana wa Israeli; lakini wewe uwape Israeli kuwa ni urithi wao, kama nilivyokuamuru.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo