Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 80:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

5 Umewalisha mkate wa machozi, Umewanywesha machozi kwa kipimo kikuu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Umefanya huzuni iwe chakula chetu; umetunywesha machozi kwa wingi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Umefanya huzuni iwe chakula chetu; umetunywesha machozi kwa wingi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Umefanya huzuni iwe chakula chetu; umetunywesha machozi kwa wingi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Umewalisha kwa mkate wa machozi, umewafanya wanywe machozi bakuli tele.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Umewalisha kwa mkate wa machozi, umewafanya wanywe machozi bakuli tele.

Tazama sura Nakili




Zaburi 80:5
9 Marejeleo ya Msalaba  

Roho yangu inakataa hata kuvigusa; Kwangu mimi ni kama chakula kichukizacho.


Maana ninakula majivu kama chakula, Na kukichanganya kinywaji changu na machozi.


Machozi yangu yamekuwa chakula changu mchana na usiku, Pindi wanaponiambia mchana kutwa, Yuko wapi Mungu wako?


Ee Mungu, mbona umetutupa milele? Kwa nini hasira yako inatoka moshi Juu ya kondoo wa malisho yako?


Ee BWANA, hadi lini? Utaona hasira milele? Wivu wako utawaka kama moto?


Na ingawa Bwana atawapeni chakula cha shida na maji ya msiba, lakini waalimu wako hawatafichwa tena, ila macho yako yatawaona waalimu wako;


Umetufunika kwa hasira na kutufuatia; Umeua, wala hukuona huruma.


Umejifunika nafsi yako kwa wingu, Maombi yetu yasipite.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo