Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 80:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

16 Umechomwa moto; umekatwa; Kwa lawama ya uso wako wanapotea.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Watu walioukata na kuuteketeza, uwatazame kwa ukali, waangamie.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Watu walioukata na kuuteketeza, uwatazame kwa ukali, waangamie.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Watu walioukata na kuuteketeza, uwatazame kwa ukali, waangamie.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Mzabibu wako umekatwa, umechomwa moto, unapowakemea, watu wako huangamia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Mzabibu wako umekatwa, umechomwa moto, unapowakemea, watu wako huangamia.

Tazama sura Nakili




Zaburi 80:16
8 Marejeleo ya Msalaba  

Ukimrudi mtu kwa kumkemea kwa uovu wake, Watowesha uzuri wake kama nondo. Kila mwanadamu ni ubatili.


Ee BWANA, hadi lini? Utaona hasira milele? Wivu wako utawaka kama moto?


Maana tumeangamia kwa hasira yako, Na kwa ghadhabu yako tumezidiwa.


Matawi yake yatakapokauka yatavunjwa; wanawake watakuja na kuyachoma moto; kwa maana hawa si watu wenye akili; kwa sababu hiyo yeye aliyewaumba hatawahurumia, yeye aliyewafanya hatawasamehe.


Mtu asipokaa ndani yangu, hutupwa nje kama tawi na kunyauka; watu huyakusanya na kuyatupa motoni yakateketea.


watakaoadhibiwa kwa maangamizi ya milele, kutengwa na uso wa Bwana na utukufu wa nguvu zake;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo