Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 80:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

12 Kwa nini umezibomoa kuta zake, Wakauchuma wote wapitao njiani?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Mbona ulibomoa kuta zilizouzunguka? Sasa kila apitaye anachuma zabibu zake;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Mbona ulibomoa kuta zilizouzunguka? Sasa kila apitaye anachuma zabibu zake;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Mbona ulibomoa kuta zilizouzunguka? Sasa kila apitaye anachuma zabibu zake;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Mbona umebomoa kuta zake ili wote wapitao karibu wazichume zabibu zake?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Mbona umebomoa kuta zake ili wote wapitao karibu wazichume zabibu zake?

Tazama sura Nakili




Zaburi 80:12
6 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo Hiramu, mfalme wa Tiro, akawatuma watumishi wake kwa Sulemani; kwani alikuwa amesikia ya kwamba wamemtia mafuta awe mfalme mahali pa baba yake. Kwa maana Hiramu alikuwa akimpenda Daudi siku zote.


Haya basi, sasa nitawaambieni nitakalolitenda shamba langu la mizabibu; nitaondoa ua wake, nalo litaliwa; nitabomoa ukuta wake, nalo litakanyagwa;


Kwa maana BWANA anairudisha fahari ya Yakobo, kama fahari ya Israeli; maana watekao nyara wamewateka, na kuyaharibu matawi ya mizabibu yao.


Atakuja na kuwaangamiza wakulima wale, na lile shamba la mizabibu atawapa wengine. Waliposikia hayo walisema, Hasha! Yasitukie haya!


Tufuate:

Matangazo


Matangazo