Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 80:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

11 Nao uliyaeneza matawi yake hadi baharini, Na vichipukizi vyake hadi kunako Mto.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Matawi yake yalienea mpaka baharini; machipukizi yake mpaka kando ya mto Eufrate.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Matawi yake yalienea mpaka baharini; machipukizi yake mpaka kando ya mto Eufrate.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Matawi yake yalienea mpaka baharini; machipukizi yake mpaka kando ya mto Eufrate.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Matawi yake yalienea hadi Baharini, machipukizi yake hadi kwenye Mto.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Matawi yake yalienea mpaka Baharini, machipukizi yake mpaka kwenye Mto.

Tazama sura Nakili




Zaburi 80:11
6 Marejeleo ya Msalaba  

Siku ile BWANA akafanya agano na Abramu, akasema, Uzao wako nimewapa nchi hii, kutoka mto wa Misri mpaka huo mto mkubwa, mto Frati,


Sulemani akatawala juu ya falme zote, toka Mto mpaka nchi ya Wafilisti, na hata mpaka wa Misri; walimletea tunu, na kumtumikia Sulemani siku zote za maisha yake.


Kwani alikuwa akitawala nchi yote upande huu wa Mto, toka Tifsa mpaka Gaza, juu ya wafalme wote wa upande huu wa Mto; naye alikuwa na amani pande zake zote.


Tena Daudi akampiga Hadadezeri, mfalme wa Soba, mpaka Hamathi, alipokwenda kujisimamishia mnara wa ukumbusho kwenye mto wa Frati.


Na awe na enzi toka bahari hadi bahari, Toka Mto hadi miisho ya dunia.


Nami nitakuwekea mpaka wako tangu Bahari ya Shamu hadi bahari ya Wafilisti, tena tangu jangwani hata huo Mto; kwa kuwa nitawatia wenyeji wa nchi mkononi mwako; nawe utawafukuza mbele yako.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo