Zaburi 80:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC11 Nao uliyaeneza matawi yake hadi baharini, Na vichipukizi vyake hadi kunako Mto. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Matawi yake yalienea mpaka baharini; machipukizi yake mpaka kando ya mto Eufrate. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Matawi yake yalienea mpaka baharini; machipukizi yake mpaka kando ya mto Eufrate. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Matawi yake yalienea mpaka baharini; machipukizi yake mpaka kando ya mto Eufrate. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Matawi yake yalienea hadi Baharini, machipukizi yake hadi kwenye Mto. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Matawi yake yalienea mpaka Baharini, machipukizi yake mpaka kwenye Mto. Tazama sura |