Zaburi 79:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC2 Wameziacha maiti za watumishi wako Ziwe chakula cha ndege wa angani. Na miili ya watauwa wako Iwe chakula cha wanyama wa nchi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 Wameacha maiti za watumishi wako ziliwe na ndege, miili ya watu wako chakula cha wanyama wa porini. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 Wameacha maiti za watumishi wako ziliwe na ndege, miili ya watu wako chakula cha wanyama wa porini. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 Wameacha maiti za watumishi wako ziliwe na ndege, miili ya watu wako chakula cha wanyama wa porini. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 Wametoa maiti za watumishi kuwa chakula cha ndege wa angani na nyama ya watakatifu wako kwa wanyama wa nchi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 Wametoa maiti za watumishi kuwa chakula cha ndege wa angani na nyama ya watakatifu wako kwa wanyama wa nchi. Tazama sura |