Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 79:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

13 Na sisi tulio watu wako, Na kondoo za malisho yako, Tutakushukuru milele; Tutazisimulia sifa zako kizazi hadi kizazi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Nasi watu wako, tulio kondoo wa kundi lako, tutakushukuru milele, na kukusifu nyakati zote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Nasi watu wako, tulio kondoo wa kundi lako, tutakushukuru milele, na kukusifu nyakati zote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Nasi watu wako, tulio kondoo wa kundi lako, tutakushukuru milele, na kukusifu nyakati zote.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Ndipo sisi watu wako, kondoo wa malisho yako, tutakusifu milele; tutasimulia sifa zako kizazi hadi kizazi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Ndipo sisi watu wako, kondoo wa malisho yako, tutakusifu milele; toka kizazi hadi kizazi tutasimulia sifa zako.

Tazama sura Nakili




Zaburi 79:13
9 Marejeleo ya Msalaba  

Jueni kwamba BWANA ndiye Mungu; Ndiye aliyetuumba na sisi tu watu wake; Tu watu wake, na kondoo wa malisho yake.


Kizazi kwa kizazi kitayasifu matendo yako, Kitayatangaza matendo yako makuu.


Tumejisifia Mungu mchana kutwa, Na jina lako tutalishukuru milele.


Jina lako nitalifanya kuwa kumbukumbu Katika vizazi vyote. Kwa hiyo mataifa watakushukuru Milele na milele.


Ee Mungu, mbona umetutupa milele? Kwa nini hasira yako inatoka moshi Juu ya kondoo wa malisho yako?


Ee BWANA, uyakumbuke hayo, adui amelaumu, Na watu wapumbavu wamelidharau jina lako.


Ee Mungu, usimame, ujitetee mwenyewe, Ukumbuke unavyotukanwa na mpumbavu mchana kutwa.


Kwa maana ndiye Mungu wetu, Na sisi tu watu wa malisho yake, Na kondoo za mkono wake. Ingekuwa heri leo msikie sauti yake!


watu wale niliojiumbia nafsi yangu, ili wazitangaze sifa zangu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo