Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 78:70 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

70 Akamchagua Daudi, mtumishi wake, Akamwondoa katika mazizi ya kondoo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

70 Alimchagua Daudi, mtumishi wake, akamtoa katika kazi ya kuchunga kondoo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

70 Alimchagua Daudi, mtumishi wake, akamtoa katika kazi ya kuchunga kondoo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

70 Alimchagua Daudi, mtumishi wake, akamtoa katika kazi ya kuchunga kondoo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

70 Akamchagua Daudi mtumishi wake na kumtoa kwenye mazizi ya kondoo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

70 Akamchagua Daudi mtumishi wake na kumtoa kwenye mazizi ya kondoo.

Tazama sura Nakili




Zaburi 78:70
13 Marejeleo ya Msalaba  

basi, sasa, fanyeni hayo; kwa maana BWANA amemtaja Daudi, akisema, kwa mkono wa mtumishi wangu, Daudi, nitawaokoa watu wangu Israeli katika mikono ya Wafilisti, na katika mikono ya adui zao wote.


Daudi akamwambia Mikali, Ilikuwa mbele za BWANA, aliyenichagua mimi juu ya baba yako, na juu ya nyumba yake, ili kuniweka niwe mkuu juu ya watu wa BWANA, juu ya Israeli; kwa hiyo mimi nitacheza mbele za BWANA.


Basi, sasa, mwambie mtumishi wangu, Daudi, maneno haya, BWANA wa majeshi asema hivi, Nilikutwaa katika zizi la kondoo, katika kuwaandama kondoo, ili uwe mkuu juu ya watu wangu, juu ya Israeli;


Tokea siku ile nilipowatoa watu wangu Israeli katika Misri, sikuchagua mji wowote katika kabila zote za Israeli ili kujenga nyumba, jina langu liwe hapo; lakini nilimchagua Daudi awe juu ya watu wangu Israeli.


Basi huyo Musa alikuwa akilichunga kundi la Yethro mkwewe, kuhani wa Midiani; akaliongoza kundi nyuma ya jangwa, akafika mpaka mlima wa Mungu, hata Horebu.


Haya, basi, nitakutuma sasa kwa Farao, ili upate kuwatoa watu wangu, hao wana wa Israeli, katika Misri.


Na alipokwisha kumwondoa huyo, akamwinua Daudi awe mfalme wao ambaye alimshuhudia, akisema, Nimemwona Daudi, mwana wa Yese, mtu anayeupendeza moyo wangu, atakayefanya mapenzi yangu yote.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo