Zaburi 78:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC7 Wamwekee Mungu tumaini lao. Wala wasiyasahau matendo ya Mungu, Bali wazishike amri zake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 ili wamwekee Mungu tumaini lao, wasije wakasahau matendo ya Mungu, bali wazingatie amri zake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 ili wamwekee Mungu tumaini lao, wasije wakasahau matendo ya Mungu, bali wazingatie amri zake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 ili wamwekee Mungu tumaini lao, wasije wakasahau matendo ya Mungu, bali wazingatie amri zake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Ndipo wangeweka tumaini lao kwa Mungu, nao hawangesahau matendo yake, bali wangezishika amri zake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Ndipo wangeweka tumaini lao kwa Mungu, nao wasingesahau matendo yake, bali wangalizishika amri zake. Tazama sura |