Zaburi 78:65 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC65 Ndipo Bwana alipoamka kama aliyelala usingizi, Kama shujaa apigaye kelele kwa sababu ya mvinyo; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema65 Kisha Bwana aliamka kama kutoka usingizini, kama shujaa aliyechangamshwa na divai. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND65 Kisha Bwana aliamka kama kutoka usingizini, kama shujaa aliyechangamshwa na divai. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza65 Kisha Bwana aliamka kama kutoka usingizini, kama shujaa aliyechangamshwa na divai. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu65 Ndipo Bwana alipoamka kama kuamka usingizini, kama shujaa anavyoamka kutoka bumbuazi la mvinyo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu65 Ndipo Bwana alipoamka kama vile kuamka usingizini, kama vile mtu aamkavyo kutoka kwenye bumbuazi la mvinyo. Tazama sura |