Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 78:61 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

61 Akaziacha nguvu zake kutekwa, Na fahari yake mkononi mwa mtesi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

61 Aliiacha ishara ya nguvu yake itekwe, utukufu wake utiwe mikononi mwa maadui.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

61 Aliiacha ishara ya nguvu yake itekwe, utukufu wake utiwe mikononi mwa maadui.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

61 Aliiacha ishara ya nguvu yake itekwe, utukufu wake utiwe mikononi mwa maadui.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

61 Akalipeleka Sanduku la nguvu zake utumwani, utukufu wake mikononi mwa adui.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

61 Akalipeleka Sanduku la nguvu zake utumwani, utukufu wake mikononi mwa adui.

Tazama sura Nakili




Zaburi 78:61
10 Marejeleo ya Msalaba  

Sasa, Ee BWANA, Mungu, uondoke, uende kwenye raha yako, wewe na sanduku la nguvu zako; makuhani wako, Ee BWANA, Mungu, wavikwe wokovu, watakatifu wako na washangilie mema.


Ee BWANA, uinuke, uende kwenye raha yako, Wewe na sanduku la nguvu zako.


Inueni vichwa vyenu, enyi malango, Inukeni, enyi malango ya milele, Mfalme wa utukufu apate kuingia.


Ndivyo nilivyokutazama katika patakatifu, Nizione nguvu zako na utukufu wako.


Ndipo lile wingu likaifunikiza hema ya kukutania, na huo utukufu wa BWANA ukaijaza maskani.


Kisha wana wa Dani wakajisimamishia hiyo sanamu ya kuchonga; na Yonathani mwana wa Gershomu, mwana wa Musa, yeye na wanawe walikuwa ni makuhani katika kabila la Wadani hadi siku nchi hiyo ilipochukuliwa mateka.


Yeye aliyeleta habari akajibu, akasema, Israeli wamekimbia mbele ya Wafilisti, tena watu wengi sana wameuawa, hata na wana wako wawili, Hofni na Finehasi, wamekufa pia, na sanduku la Mungu limetwaliwa.


Akamwita mtoto, Ikabodi, akisema, Huo utukufu umeondoka katika Israeli; kwa sababu sanduku la Mungu lilikuwa limetwaliwa, na kwa sababu ya mkwewe na mumewe.


Basi, hilo sanduku la BWANA lilikuwamo katika nchi ya Wafilisti muda wa miezi saba.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo