Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 78:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

6 Ili kizazi kingine wawe na habari, Ndio hao wana watakaozaliwa. Wasimame na kuwaambia wana wao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 ili watu wa kizazi kijacho, watoto watakaozaliwa baadaye, wazijue, nao pia wawajulishe watoto wao,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 ili watu wa kizazi kijacho, watoto watakaozaliwa baadaye, wazijue, nao pia wawajulishe watoto wao,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 ili watu wa kizazi kijacho, watoto watakaozaliwa baadaye, wazijue, nao pia wawajulishe watoto wao,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 ili kizazi kijacho kizijue, pamoja na watoto ambao watazaliwa, nao pia wapate kuwaeleza watoto wao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 ili kizazi kijacho kizijue, pamoja na watoto ambao watazaliwa, nao pia wapate kuwaeleza watoto wao.

Tazama sura Nakili




Zaburi 78:6
11 Marejeleo ya Msalaba  

siku hizo zikumbukwe na kushikwa kwa vizazi vyote na kila jamaa, katika kila jimbo na kila mji; wala siku hizo za Purimu zisikome katikati ya Wayahudi, wala kumbukumbu lake lisiishe kwa wazao wao.


Kizazi kitakachokuja kitaandikiwa hayo, Na watu watakaoumbwa watamsifu BWANA.


Kizazi kwa kizazi kitayasifu matendo yako, Kitayatangaza matendo yako makuu.


Watautangaza wokovu wake kwa watakaozaliwa, Ya kwamba ndiye aliyeyafanya.


Tieni moyoni boma zake, Yafikirini majumba yake, Mpate kuwaambia kizazi kitakachokuja.


Na hata nikiwa ni mzee mwenye mvi, Ee Mungu, usiniache. Hata niwaeleze watu wa kizazi hiki nguvu zako, Na kila atakayekuja uweza wako.


Matendo yako na yaonekane kwa watumishi wako, Na utukufu wako kwa watoto wao.


nawe upate kusema masikioni mwa mwanao, na masikioni mwa mjukuu wako, ni mambo gani niliyotenda juu ya Misri, na ishara zangu nilizozifanya kati yao; ili mpate kujua ya kuwa mimi ndimi BWANA.


Waambieni watoto wenu habari yake, Watoto wenu wakawaambie watoto wao, Na watoto wao wakakiambie kizazi kingine.


siku ile uliyosimama mbele za BWANA wako huko Horebu, BWANA aliponiambia, Nikusanyieni watu hawa, nami nitawafanya wasikilize maneno yangu, ili wajifunze kunicha mimi siku zote watakazoishi duniani, wakapate na kuwafundisha watoto wao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo