Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 78:53 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

53 Hao akawachukua salama wala hawakuogopa, Bali bahari iliwafunika adui zao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

53 Aliwaogoza salama, wala hawakuogopa; lakini bahari iliwafunika maadui zao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

53 Aliwaogoza salama, wala hawakuogopa; lakini bahari iliwafunika maadui zao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

53 Aliwaogoza salama, wala hawakuogopa; lakini bahari iliwafunika maadui zao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

53 Aliwaongoza salama, wala hawakuogopa, bali bahari iliwameza adui zao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

53 Aliwaongoza salama, wala hawakuogopa, bali bahari iliwameza adui zao.

Tazama sura Nakili




Zaburi 78:53
9 Marejeleo ya Msalaba  

Maji yakawafunika watesi wao, Hakusalia hata mmoja wao.


Akamwangusha Farao na jeshi lake katika Bahari ya Shamu; Kwa maana fadhili zake ni za milele.


Musa akawaambia watu, Msiogope, simameni tu, mkauone wokovu wa BWANA atakaowafanyia leo; kwa maana hao Wamisri mliowaona leo hamtawaona tena milele.


BWANA akamwambia Musa, Mbona unanililia mimi? Waambie wana wa Israeli waendelee mbele.


Ulivuma kwa upepo wako, bahari ikawafunikiza; Wakazama kama risasi ndani ya maji makuu.


Basi Musa akasikiza neno la mkwewe, akayafanya yote aliyokuwa amemwambia.


Kwa imani wakapita kati ya Bahari ya Shamu, kama katika nchi kavu; Wamisri walipojaribu kufanya vivyo wakatoswa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo