Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 78:36 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

36 Lakini walimdanganya kwa vinywa vyao, Wakamwambia uongo kwa ndimi zao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

36 Lakini walimdanganya kwa maneno yao; kila walichomwambia kilikuwa uongo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

36 Lakini walimdanganya kwa maneno yao; kila walichomwambia kilikuwa uongo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

36 Lakini walimdanganya kwa maneno yao; kila walichomwambia kilikuwa uongo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

36 Lakini walimdanganya kwa vinywa vyao, wakisema uongo kwa ndimi zao,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

36 Lakini walimdanganya kwa vinywa vyao, wakisema uongo kwa ndimi zao,

Tazama sura Nakili




Zaburi 78:36
11 Marejeleo ya Msalaba  

Mara tu waliposikia habari zangu, wakanitii. Wageni walinijia wakinyenyekea.


Bwana akanena, Kwa kuwa watu hawa hunikaribia na kuniheshimu kwa vinywa vyao, bali mioyo yao wamefarakana nami, na kicho chao walichonacho kwangu ni maagizo ya wanadamu waliyofundishwa;


Tena ni nani uliyemwogopa na kumhofu, hata ukasema uongo, wala hukunikumbuka mimi, wala kuweka hayo moyoni? Je! Mimi sikunyamaza tangu zamani, hata huniogopi?


Likiwa jema, au likiwa baya, sisi tutaitii sauti ya BWANA, Mungu wetu, ambaye tunakutuma kwake; ipate kuwa faida yetu, tunapoitii sauti ya BWANA, Mungu wetu.


Nao huja kwako kama watu wajavyo, nao hukaa mbele yako kama watu wangu, nao husikia maneno yako, wasiyatende; maana kwa vinywa vyao hujifanya kuwa wenye upendo mwingi, lakini mioyo yao inatafuta faida yao.


Efraimu amenizunguka kwa maneno ya uongo, na nyumba ya Israeli kwa udanganyifu; na Yuda hata sasa anasitasita kwa Mungu, na kwake aliye Mtakatifu, naye ni mwaminifu.


Efraimu hujilisha upepo, na kuandamana na upepo wa mashariki; haachi kuongeza uongo na uharibifu; nao wafanya agano na Ashuru, na mafuta huchukuliwa kwenda Misri.


BWANA naye ana shutuma juu ya Yuda, naye atamwadhibu Yakobo kwa kadiri ya njia zake; kwa kadiri ya matendo yake atamlipa.


Kwa maana matajiri wake wamejaa jeuri, na wenyeji wake wamesema uongo, na ulimi wao una udanganyifu kichwani mwao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo